NtakuwaSikuchukui
Member
- Feb 9, 2012
- 26
- 10
Nawashukuruni wana Jf,nimethibitisha u real great thinkers kwa ukaribishwo wenu:kuclick post hii kwangu ni ukaribisho mkubwa
Tushikiane pamoja katika kuijenga,kuiambia ukweli,kuiburudisha,kuikosoa kidole machoni,kuizomea,kuiumbuaa,nk..Jamii yetu.
Mimi ni Mtizedi wa originarii.
Siwashukuru kwa kuwapotezea muda wenu bali naomba muunge mkono hoja hii.Wanaosema inaboa waseme boaaaa! na wanasema yakijanja waseme janjaaaa!! waliopandezote waseme boanjaaa! waliokuwa wameuchapa waseme wausingiziiiiii!
Leo tunaairisha jumba la posho hadi mwezi wa bujets.
Tushikiane pamoja katika kuijenga,kuiambia ukweli,kuiburudisha,kuikosoa kidole machoni,kuizomea,kuiumbuaa,nk..Jamii yetu.
Mimi ni Mtizedi wa originarii.
Siwashukuru kwa kuwapotezea muda wenu bali naomba muunge mkono hoja hii.Wanaosema inaboa waseme boaaaa! na wanasema yakijanja waseme janjaaaa!! waliopandezote waseme boanjaaa! waliokuwa wameuchapa waseme wausingiziiiiii!
Leo tunaairisha jumba la posho hadi mwezi wa bujets.