Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Mara ya mwisho kuonekana kwenye harakati za Chadema ilikuwa kwenye mdahalo wa itikadi za vyama pale Movenpick, nilitegemea kwenye ujumbe ulio tinga ikulu kwa swala la mchakato wa katiba nae angekuwepo maana ni gwiji wa sheria. Yuko wapi jemadari na kamanda huyu wa Chadema?