Marando hakuwa TISS, TISS ni taasisi mpya iliyoanza 1998 , alikuwa Idara ya Usalama wa Taifa, ambayo haikuwa hata na sheria yake.....kama jina linavyosema, ilikuwa ni Idara tu chini ya ofisi ya raisi
kucomment kwa style hii mm nakuita....utumizi wa hekima(kutafakri kwanza kabla ya kunena au kucomment ndo huku!).Hebu basi na sote tuwe wenye hekima waungwana!
Mabere yuko vizuri.
1: kajiunga usalama fresh from college 1976?? Hana kadi ya TANU TYL. kwa wakati ule jama sio sekondari basi jkt lazima mpate mafunzo ta siasa. Aliingiaje Udsm? it was planned.
2: Baada ya Udsm alipataje kazi usalama bila kuwa TANU enzi za julius? fake statement.
3: Kesi ya uhaini ilikuwa 1984 sio 1982 labda kama alipitiwa.
4: Alishiriki vita ya uganda 1979/80. Alikuwa na Tamimu vitani hadi tamimu alipikimbilia kenya.
5: Alijiunga nccr na mrema ( afusa usalama).
6: 2010 akajoin chadema with special mission.
Unawatetea mafisadi .watu walioiba fedha ya tanzania. haya bwana
- Hivi Marando ni nani kwenye hili Taifa?
Le Mutuz
Marando alifukuzwa kama mbwa kwa tabia mbaya na utovu wa nidham, aliasi mapambano ya vita kati ya tz na uganda na inasemekana hakuwahi kuingia ofisi za usalama wala kufanya hiyo kazi, alichukuliwa kutoka chuoni moja kwa moja kwenda vitani, yakamshinda kule akatoroka na ndio akafutwa usalama. Kama uongo aje ajibu hii post
ha ha ha ha ha! if you walk along a road with a pig, that KITMOTO will have more respect compared to you!!Respect is earned. It's not something that u get for free. So, not every one deserves to be respected simply because one is a human.
As far as I know, Marandu does not deserve to be respected.
Nimeipenda hiyo,,,hivi mwanasheria mwenye akili anaweza kumtetea jambazi aliyeuwa ndugu zake?
na vipi rais anayewaachia mafisadi waliopora pesa za walipa kodi?
- Hivi Marando ni nani kwenye hili Taifa?
Le Mutuz
Dah huyu jamaa W.J mwili wako, umri wako haviendan kabsa sijui huwa unafkiria kwa kutumia nini!!!
- Hivi Marando ni nani kwenye hili Taifa?
Le Mutuz