bangi mbaya duh!e bana kaoge ulale urudi kesho hapa ukiwa mzima usome ulichoandika na topic inasemajeNadhani kama mzee mengi hajui, basi wapo watu waliomuingiza mkenge kutokana na kuwepo kwa wahariri wanaolamba mshahara bure huku wakiwa hawa kazi ya kufanya kwenye kampuni yake ya magazeti.
Mmoja wa watu hao ambaye amedumu kwenye kampuni kijanja kijanga ni Fred Ogoti aliyepewa cheo kama mhariri wa habari za michezo kwenye gazeti ya The Guardian On Sunday baada ya kuondolewa kwenye gazeti la Guardian la kila siku.
Kama ninavyomjua Ogoti ni kwamba hana uwezo wowote katika lugha ya kiingereza na hata habari za michezo hazijui, anafanya kazi kwa kubebwa tu na baadhi ya watu na kama wakiamua kumtosa ataumbuka.
Kwa nini kampuni kubwa kama hiyo iwe na watu wa aina hii? Kama mzee Mengi hujui hilo, hebu fuatilia kwenye kampuni yako uone watu wanavyokula mishahara bila kazi za maana. Haya siyo majungu ni ukweli mtupu.
Mhariri huyu ataendelea kufanya kazi kiujanja ujanja hadi lini huku akiwazibia wenzake wenye uwezo wakiwemo akina Florian Kaijege ambao nasikia nao wamehamia kwenye mgazeti yako?
Nadhani kama mzee mengi hajui, basi wapo watu waliomuingiza mkenge kutokana na kuwepo kwa wahariri wanaolamba mshahara bure huku wakiwa hawa kazi ya kufanya kwenye kampuni yake ya magazeti.
Mmoja wa watu hao ambaye amedumu kwenye kampuni kijanja kijanga ni Fred Ogoti aliyepewa cheo kama mhariri wa habari za michezo kwenye gazeti ya The Guardian On Sunday baada ya kuondolewa kwenye gazeti la Guardian la kila siku.
Kama ninavyomjua Ogoti ni kwamba hana uwezo wowote katika lugha ya kiingereza na hata habari za michezo hazijui, anafanya kazi kwa kubebwa tu na baadhi ya watu na kama wakiamua kumtosa ataumbuka.
Kwa nini kampuni kubwa kama hiyo iwe na watu wa aina hii? Kama mzee Mengi hujui hilo, hebu fuatilia kwenye kampuni yako uone watu wanavyokula mishahara bila kazi za maana. Haya siyo majungu ni ukweli mtupu.
Mhariri huyu ataendelea kufanya kazi kiujanja ujanja hadi lini huku akiwazibia wenzake wenye uwezo wakiwemo akina Florian Kaijege ambao nasikia nao wamehamia kwenye mgazeti yako?
Nadhani kama mzee mengi hajui, basi wapo watu waliomuingiza mkenge kutokana na kuwepo kwa wahariri wanaolamba mshahara bure huku wakiwa hawa kazi ya kufanya kwenye kampuni yake ya magazeti.
Mmoja wa watu hao ambaye amedumu kwenye kampuni kijanja kijanga ni Fred Ogoti aliyepewa cheo kama mhariri wa habari za michezo kwenye gazeti ya The Guardian On Sunday baada ya kuondolewa kwenye gazeti la Guardian la kila siku.
Kama ninavyomjua Ogoti ni kwamba hana uwezo wowote katika lugha ya kiingereza na hata habari za michezo hazijui, anafanya kazi kwa kubebwa tu na baadhi ya watu na kama wakiamua kumtosa ataumbuka.
Kwa nini kampuni kubwa kama hiyo iwe na watu wa aina hii? Kama mzee Mengi hujui hilo, hebu fuatilia kwenye kampuni yako uone watu wanavyokula mishahara bila kazi za maana. Haya siyo majungu ni ukweli mtupu.
Mhariri huyu ataendelea kufanya kazi kiujanja ujanja hadi lini huku akiwazibia wenzake wenye uwezo wakiwemo akina Florian Kaijege ambao nasikia nao wamehamia kwenye mgazeti yako?
Nadhani kama mzee mengi hajui, basi wapo watu waliomuingiza mkenge kutokana na kuwepo kwa wahariri wanaolamba mshahara bure huku wakiwa hawa kazi ya kufanya kwenye kampuni yake ya magazeti.
Mmoja wa watu hao ambaye amedumu kwenye kampuni kijanja kijanga ni Fred Ogoti aliyepewa cheo kama mhariri wa habari za michezo kwenye gazeti ya The Guardian On Sunday baada ya kuondolewa kwenye gazeti la Guardian la kila siku.
Kama ninavyomjua Ogoti ni kwamba hana uwezo wowote katika lugha ya kiingereza na hata habari za michezo hazijui, anafanya kazi kwa kubebwa tu na baadhi ya watu na kama wakiamua kumtosa ataumbuka.
Kwa nini kampuni kubwa kama hiyo iwe na watu wa aina hii? Kama mzee Mengi hujui hilo, hebu fuatilia kwenye kampuni yako uone watu wanavyokula mishahara bila kazi za maana. Haya siyo majungu ni ukweli mtupu.
Mhariri huyu ataendelea kufanya kazi kiujanja ujanja hadi lini huku akiwazibia wenzake wenye uwezo wakiwemo akina Florian Kaijege ambao nasikia nao wamehamia kwenye mgazeti yako?
walale tu watafika kesho hakuna simba maeneo hayo wasihofu