Vipi huu mkakati wa mabasi yaendayo kasi unaendeleaje? Nimeshangaa kuona vituo vimejengwa maeneo mbalimbali bila njia kukamiloika.
Baadhi ya vituo vimeanza kuharibiwa hata kabla ya kutumika. Nashindwa kuelewa kwanini vituo vimejengwa kabla ya njia?
Au ni staili ya ulaji mafungu?
Chukua chako mapema???
Baadhi ya vituo vimeanza kuharibiwa hata kabla ya kutumika. Nashindwa kuelewa kwanini vituo vimejengwa kabla ya njia?
Au ni staili ya ulaji mafungu?
Chukua chako mapema???