Mabara duniani kugawanyika tena!

kimunyesam

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
220
202
Kabla sijawapa link naomba kuwapatia Haya Maelezo ambayo yamenistua sana!!.

Ki sayansi Haya mabara yaani afrika,Asia n.k yalitokea baada ya dunia kuachana kwa ardhi kugawanyika polepole hadi kipande kimoja kuwa mbali na kingine!

Sasa basi halihiyo itajitokeza January mwakani kwa kasi kubwa! Ya 100km/h!!! Hii ni kusema kwamba ndani ya 48 hrs mabara yatakua 4800km each others.!

Kilichoniogopesha zaidi ni kwamba mtikisiko mkubwa utatokea na kufanya zilzala(tahamaki) kubwa itakayo pelekea wazungu kutulia kwa muda bila kufanya chochote wakati wakifanya uchunguzi Wa hali ya hewa,umbali,nk.

Hii itachukua muda mrefu kidogo! Lakini wazungu wakati wakihangaika kututafuta bara letu lilipokimbilia Haya ndio yatatukuta bara la Afrika...

1.vita za wenyewe kwa wenyewe zitasimama maana malighafi kama siraha.almasi na dhahabu kutoka am a kuingia afrika kutakoma.

2.ndani ya muda mfupi magari yote yatapaki kwakua hatuna akiba ya mafuta ya kutosha.

3.umeme utakatika sababu vipuri vyote tunaagiza ulaya!

4.tra .watasimama kazi maana efd hazitofanya kazi(teh.teh.najua wafanyabiashara hapa mmefurahi)

5.madukani kilakitu kitakosekana Hata njiti za meno maana vingi ni made in China!

6. Kifupi tutarudia mfumo Wa ujima unakuja na chumvi nakupa mahindi! Hata nguo hatutovaa tena! Maana tutakua hatuna jinsi ya kutengeneza! Huku yomboo na zazuu zikirudi kwa kasi.

Vipodozi kushnehi. Nahisi hata kuchana nywele itakua ni afro.panki.no rasta za brazili hazitokuepo! Daaah, yaani wakati nafiKiria hali ya maisha itakayo tukuta nikasikia alarm inaita ni saa12:00 asubuhi kumbe nilikua ninaota!!?

Samahani sana kwa nitakao wakwaza ndotozingine bana!! HIVi IKIWAKWELI? Tafakari
 
dah uongo mwingine bhana hauna kichwa wala tako!! umetuona sie maboksi eeh? najaribu kufikiria IQ yako lakn daaah ngoja tu nikuache kama ulivyo huenda hata nkasikia tangazo la vichaa kutoroko Dodoma (milembe)
 
Hii kitu ni very unrealistic and will not happen.Mnajua in these last days hawa jamaa wanajaribu kuwatisha wanadamu as much as they can.Haya ni matisho tu,haitatokea.Fear is their greatest weapon.A worried person is extremely easy to control and manipulate.
Kabla sijawapa link naomba kuwapatia Haya Maelezo ambayo yamenistua sana!!.

Ki sayansi Haya mabara yaani afrika,Asia n.k yalitokea baada ya dunia kuachana kwa ardhi kugawanyika polepole hadi kipande kimoja kuwa mbali na kingine!

Sasa basi halihiyo itajitokeza January mwakani kwa kasi kubwa! Ya 100km/h!!! Hii ni kusema kwamba ndani ya 48 hrs mabara yatakua 4800km each others.!

Kilichoniogopesha zaidi ni kwamba mtikisiko mkubwa utatokea na kufanya zilzala(tahamaki) kubwa itakayo pelekea wazungu kutulia kwa muda bila kufanya chochote wakati wakifanya uchunguzi Wa hali ya hewa,umbali,nk.

Hii itachukua muda mrefu kidogo! Lakini wazungu wakati wakihangaika kututafuta bara letu lilipokimbilia Haya ndio yatatukuta bara la Afrika...

1.vita za wenyewe kwa wenyewe zitasimama maana malighafi kama siraha.almasi na dhahabu kutoka am a kuingia afrika kutakoma.

2.ndani ya muda mfupi magari yote yatapaki kwakua hatuna akiba ya mafuta ya kutosha.

3.umeme utakatika sababu vipuri vyote tunaagiza ulaya!

4.tra .watasimama kazi maana efd hazitofanya kazi(teh.teh.najua wafanyabiashara hapa mmefurahi)

5.madukani kilakitu kitakosekana Hata njiti za meno maana vingi ni made in China!

6. Kifupi tutarudia mfumo Wa ujima unakuja na chumvi nakupa mahindi! Hata nguo hatutovaa tena! Maana tutakua hatuna jinsi ya kutengeneza! Huku yomboo na zazuu zikirudi kwa kasi.

Vipodozi kushnehi. Nahisi hata kuchana nywele itakua ni afro.panki.no rasta za brazili hazitokuepo! Daaah, yaani wakati nafiKiria hali ya maisha itakayo tukuta nikasikia alarm inaita ni saa12:00 asubuhi kumbe nilikua ninaota!!?

Samahani sana kwa nitakao wakwaza ndotozingine bana!! HIVi IKIWAKWELI? Tafakari
 
Kabla sijawapa link naomba kuwapatia Haya Maelezo ambayo yamenistua sana!!.

Ki sayansi Haya mabara yaani afrika,Asia n.k yalitokea baada ya dunia kuachana kwa ardhi kugawanyika polepole hadi kipande kimoja kuwa mbali na kingine!

Sasa basi halihiyo itajitokeza January mwakani kwa kasi kubwa! Ya 100km/h!!! Hii ni kusema kwamba ndani ya 48 hrs mabara yatakua 4800km each others.!

Kilichoniogopesha zaidi ni kwamba mtikisiko mkubwa utatokea na kufanya zilzala(tahamaki) kubwa itakayo pelekea wazungu kutulia kwa muda bila kufanya chochote wakati wakifanya uchunguzi Wa hali ya hewa,umbali,nk.

Hii itachukua muda mrefu kidogo! Lakini wazungu wakati wakihangaika kututafuta bara letu lilipokimbilia Haya ndio yatatukuta bara la Afrika...

1.vita za wenyewe kwa wenyewe zitasimama maana malighafi kama siraha.almasi na dhahabu kutoka am a kuingia afrika kutakoma.

2.ndani ya muda mfupi magari yote yatapaki kwakua hatuna akiba ya mafuta ya kutosha.

3.umeme utakatika sababu vipuri vyote tunaagiza ulaya!

4.tra .watasimama kazi maana efd hazitofanya kazi(teh.teh.najua wafanyabiashara hapa mmefurahi)

5.madukani kilakitu kitakosekana Hata njiti za meno maana vingi ni made in China!

6. Kifupi tutarudia mfumo Wa ujima unakuja na chumvi nakupa mahindi! Hata nguo hatutovaa tena! Maana tutakua hatuna jinsi ya kutengeneza! Huku yomboo na zazuu zikirudi kwa kasi.

Vipodozi kushnehi. Nahisi hata kuchana nywele itakua ni afro.panki.no rasta za brazili hazitokuepo! Daaah, yaani wakati nafiKiria hali ya maisha itakayo tukuta nikasikia alarm inaita ni saa12:00 asubuhi kumbe nilikua ninaota!!?

Samahani sana kwa nitakao wakwaza ndotozingine bana!! HIVi IKIWAKWELI? Tafakari

Huku kunaitwa kupatwa kwa akili!!
 
uliyoyaandika mengi siyo kweli ila kuhusu mabara kugawanyika ni kweli wanasayansi wanaamini miaka milioni kadhaa East Africa itajitenga na Africa na moja kati ya dalili za kutokea mgawanyiko huo ni Bonde la ufa.
 
Ni kweli kabisa, East Africa itajitenga ilianza kugawanyika pole pole miaka kadhaa nyuma kama mtakubuka bonde la ufa lilipota kutokea nchi za North kushuka chini, na dalili inayogawa zaidi ni tetemeko la ardhi linalopasua taratibu ndani mpaka utakuwa katika ziwa Tanganyika Tanzania yote itakuwa ni kisiwa kama sikosei naandika nikiwa sina detail za kutosha maana nimekurupuka nilipenda kuandika nikiwa na vielelezo vya kutosha kuthibisha hiki kitu japo nahisi watu wengi nchini hawajui, haunaga utaratibu wa kufuatilia mambo ya kisayansi na tabia nchi au Geografia ya dunia. Kugawanyikika kutaanzia ERITREA, JIBUTI, ETHIOPIA, KENYA mto naivasha, Turkana, kando ya mlima Kilimanjaro, Oldonyolongai, umasahini namaanisha, Mto Arberty, ziwa Tanganyika, Rukwa Nyasa, mto Shire Zambezi hadi kufika bahari ya Hindi sorry nimeruka ruka baadhi ya sehemi Tanzania tutajigawa Vipande viwili, ila halii itachukua miaka mingi mno kama 50+ hadi kutokea maana ni kitendo cha taratibu mno kiasi kwamba watu hawagundui kwa macho ya kawaida, japo aridhi inajivuta taratibu kila leo, kwa wazee wetu waliozaliwa miaka 100 hivi waaweza kukushuhudia kuwa kuna mabadiliko kadhaa maeneo haya niliyoyataja
Bamba_la_Afrika-Mashariki.PNG

upload_2016-9-3_21-7-37.jpeg
kama hivi
 
dah uongo mwingine bhana hauna kichwa wala tako!! umetuona sie maboksi eeh? najaribu kufikiria IQ yako lakn daaah ngoja tu nikuache kama ulivyo huenda hata nkasikia tangazo la vichaa kutoroko Dodoma (milembe)
Juu ya kugawanyika kwa vipande vya aridhi na upande wa east afrika kuwa kisiwa ni kweli, sema kaongopa kuwa itatokea hivi karibuni, hali hii itatokea siyo leo japo imenza taratibu, ni miaka sana mim na wewe na watoto zetu tutakuwa tumeshakufa labda vijukuu na vitukuu ndiyo watakaoshuhudia au kuthimuliwa kuwa afrika ilikuwa moja na wameikuta imejigawa. ni miaka mingi mbele
 
Back
Top Bottom