R
raisi
Guest
Naomba kuuliza swali,kwanini mabalozi wa Tanzania walio wengi ,katika nchi za waarabu au zenye asili ya kiarabu,ndani na nje ya Africa ni waislamu tuu?
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Sio lazima ila wakipata muislam inakuwa bomba zaidi.Kwa hiyo nchi za ulaya na america,lazima wawatafute waislamu kuwakilisha nchi zao.hilo halina msingi.hapo kuna kupendeana.
define nchi ya Kiislam kwanza then tutajua kama kuna mjadala hapa au la
Naomba kuuliza swali,kwanini mabalozi wa Tanzania walio wengi ,katika nchi za waarabu au zenye asili ya kiarabu,ndani na nje ya Africa ni waislamu tuu?
Nawasilisha.
Kuna maneno yamesemwa nami nauliza kule Paris hivi balozi wetu ni ndugu nani ? UK Je ? Kule Ujerumani sijui .Hebu nisaidieni.Mtu ukisema Arab world measn islam na si zaidi .
Kazi za Balozi kwa lugha rahisi, ni kudumisha urafiki na nchi husika. Ndani ya urafiki huo ndipo huweza kutokea uhusiano au ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kufuatia lengo hilo, ni busara kumpeleka balozi Muislamu nchi za Kiislamu kama tunavyompeleka balozi Mkiristu ubalozi wetu wa Italy ambaye pia anatuwakilisha Vatican ambayo ni nchi ya Kikristo.
The formular is simple logic na sio udini.
Huo ndiyo ukweli ila inategemea na nchi zenyewe zina msimamo gani au tolerant kiasi gani.
Balozi wetu huko Italy kwenye miaka ya mwanzo ya 90 Mzee Sykes ( was it Abbas or Ally?) alikuwa ni Muislam na haikuwa na ubaya wala tatizo lolote.
Na ninavyoelewa, balozi wetu Italy ndiye anaetuwakilisha Vatican!
Hata kama ni kweli, nchi ulizotaja ni za kiislam hivyo ni vizuri mabalozi wakawa ni watu wanaofuata utamaduni huo.
Hali ndiyo hiyo.
Udini mtupu.
Wote twajua Malkia ni top leader wa kanisa la Anglican Uk.
Jiulize Uk wamsusie maajar kisa muislamu itakuwaje?