residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,115
- 9,745
Yaani kama aliongea "gazeti", basi unataka liwekwe hapa hilo gazeti lote kama ufanyavyo wewe!!??Weka maneno yake yote na siyo kuleta kaeneo ka kupigia propaganda.
Uchawa ni upungufu/ukosefu wa akili za kuweza kujitegemea.
Pole sana kwa kukosa/kupungukiwa akili.