Mabadiliko: Hamis Kigwangwala aanza kuzungumza lugha ya Wananchi

Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .

Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?

View attachment 2755007
Kigwa kashachoka hataki tena Uteuzi😆😆
 
Viongozi wengi wa sasa waliyoko mamlakani wote tunawasikia na kuwaona, na hata wale waliokuwa mamlakani tuliwasikia na kuwaona.
Ukisikia au ukiona hayuko mamlakani akatoa kauli yoyote ya wananchi kwanza nikutafuta kauli nyingine nyingi za nyuma akiwa mamlakani. Unaanza kutafuta ukweli wa kile anachokisema kama kinatoka moyoni au kinasukumwa na remote hapo nyuma kwa kuona nafasi yake kwa sasa na wananchi wanamuongeaje na amekaribia wapi kea sasa. Kumbukeni kauli kama hizo tutazisikia sana kwao kwa kuwa zinakuwa na misukumo mikubwa miwili mika tunakaribia wapi, mbili sina nafasi ya kumuimbia bosi wimbo autakao. Tuwe tunatafakari sana kwa ndg zetu kama hawa.
 
Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .

Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?

View attachment 2755007
huyu hanaga akili tangu aondoshwe kuwa wazir
 
Back
Top Bottom