Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,046
- 54,336
Nyumba Moja Tunagombea Fito Ili Nyumba IangukeMnhh!! Kuna nini ?!? Heh!
Nyumba Moja Tunagombea Fito Ili Nyumba IangukeMnhh!! Kuna nini ?!? Heh!
Hao Hawana Lazima Watoke Haraka NgorongoroNa kuhakikisha wamasai wanahama.
Mupe....Muruke....Toa huyu peleka pale mpe yule muache yule mkipenda ajirini familia zenu ila mwisho wa yote performance itawapa result huku mtaani.
Maliasili imebadilishwa leo leo with immediate effect! Anyway acha tushangilie Sukuma Gang wanavyotiwa adabu
Akumbukwe JPM
Kina Mama hoyee! Bado IGP mwanamama soon.
Kaziii iendeleee"kwa sauti ya mama"
Huyu apumzike mazima hata kama ni mwana mikakati akae pembeniSimbachawene alipwaya wizara aliyokuwepo naamini yeye ndie chanzo cha mabadiliko haya.
Wanatakiwa kuhamaNa kuhakikisha wamasai wanahama.
Hili swali aisee,Waziri anauzaje pembe za ndovu?
Kunabadili nini?Mkuu hupendi watiwe adabu?
Aah sasa pindi chana Ni mbobezi wa wanyama? Hivyo vyeo vya CCM Wala haviangalii taalumaNdumbalo ni doctor mbobezi wa sheria ni samaki karudishwa majini hakuwa comfortable ku deal na wanyama
Naona unataka kuua Wizara ya Kilimo.Mali asili na utalii bado haijapata mtu.
Mtu sahihi hiyo wizara ni Bashe
Mkuu hii ni zaidi ya Sukuma, tunao umia ni sote.Maliasili imebadilishwa leo leo with immediate effect! Anyway acha tushangilie Sukuma Gang wanavyotiwa adabu