Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Biblia inasema hv khs kuchinja,Kumbukumbu la Torati sura ya 12 aya ya 15 inasema hv "Pamoja na haya, waweza kuchinja nyama na kula ndani ya malango yako yote,kwa kufuata yote yote yanayotamaniwa na roho yako,kulingana na baraka ya BWANA Mungu wako,aliyokupa;aliye tohara na asiye tohara ana ruhusa kula katika nyama hiyo,kama ya paa na ya kungulu"
pia aya ya 21 ktk kitabu hikihiki inasema hv "Na mahali atakapochagua Bwana Mungu wako apaweke jina lake,pakiwa mbali nawe mno ,ndipo utakapochinja katika kundi lako la ng'ombe na kondoo alilokupa Bwana kama nilivyokuagiza,nawe utakula ndani ya malango yako kwa kufuata yote inayotamani roho yako"
Hivyo basi inabidi wakristo waachwe na wasilazimishwe kula nyama iliyochinjwa na waislam kwani ht wao wana haki ya kuchinja pia.
Hapo palipo chaguliwa na kuwekwa jina la Bwana panapo chinjwa Ng'ombe na Kondoo ni Makkah, Waislaam wanapofanya hija ! Ndio Tourat inapataja. Hivyo hiyo aya inawazungumzia Waislaam !