Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Kova kasema nk marufuku kwa Waislamu kundamana leo, anayebisha ajaribu aone salam za chrismas kutoka FFU!
Wakatki huohuo JK ametoa mbuzi na mchele kwa vituo vya watoto yatima ili na wao siku mojamoja walage wali na nyama.
Nipo hapa Pemba ni muda mfupi tumempokea marehemu mhanga wa mafuriko Jangwani Dsm.
Chadema na tamko lao sidhani kama kuna aliyehangaika kupoteza muda wake kulifanyia kazi ama hata kulijibu maana wanasema matamko yamekuwa mengi sana sasa.
Mimi, Pangu Pakavu, ntatoa salam kali kabisa za mwaka jumatatu ijayo, na ntajikita katika kujadili tamko la Cdm na mafuriko.
Nilidhani serikali ingeliwapa mbuzi na mchele wenzetu waliokumbwa na mkasa kumbe hola, nadhani sababu wanazijua 'kiherehere ch wakazi wa jangwani kukaa mitaroni badala ya huko Mbezi.
Source, Channel Ten, saa saba mchanz leoleo.
Wakatki huohuo JK ametoa mbuzi na mchele kwa vituo vya watoto yatima ili na wao siku mojamoja walage wali na nyama.
Nipo hapa Pemba ni muda mfupi tumempokea marehemu mhanga wa mafuriko Jangwani Dsm.
Chadema na tamko lao sidhani kama kuna aliyehangaika kupoteza muda wake kulifanyia kazi ama hata kulijibu maana wanasema matamko yamekuwa mengi sana sasa.
Mimi, Pangu Pakavu, ntatoa salam kali kabisa za mwaka jumatatu ijayo, na ntajikita katika kujadili tamko la Cdm na mafuriko.
Nilidhani serikali ingeliwapa mbuzi na mchele wenzetu waliokumbwa na mkasa kumbe hola, nadhani sababu wanazijua 'kiherehere ch wakazi wa jangwani kukaa mitaroni badala ya huko Mbezi.
Source, Channel Ten, saa saba mchanz leoleo.