Maandamano ya Waislam kwishney, hapa kazi tu....

Hossam

JF-Expert Member
Feb 10, 2011
3,538
2,155
Kova kasema nk marufuku kwa Waislamu kundamana leo, anayebisha ajaribu aone salam za chrismas kutoka FFU!

Wakatki huohuo JK ametoa mbuzi na mchele kwa vituo vya watoto yatima ili na wao siku mojamoja walage wali na nyama.

Nipo hapa Pemba ni muda mfupi tumempokea marehemu mhanga wa mafuriko Jangwani Dsm.
Chadema na tamko lao sidhani kama kuna aliyehangaika kupoteza muda wake kulifanyia kazi ama hata kulijibu maana wanasema matamko yamekuwa mengi sana sasa.

Mimi, Pangu Pakavu, ntatoa salam kali kabisa za mwaka jumatatu ijayo, na ntajikita katika kujadili tamko la Cdm na mafuriko.

Nilidhani serikali ingeliwapa mbuzi na mchele wenzetu waliokumbwa na mkasa kumbe hola, nadhani sababu wanazijua 'kiherehere ch wakazi wa jangwani kukaa mitaroni badala ya huko Mbezi.

Source, Channel Ten, saa saba mchanz leoleo.
 
watu tunasubiria sikukuu wao wanataka kuandamana,wapewe kazi ya kufanya iwakeep busy
 
Kova kasema nk marufuku kwa Waislamu kundamana leo, anayebisha ajaribu aone salam za chrismas kutoka FFU!

Wakatki huohuo JK ametoa mbuzi na mchele kwa vituo vya watoto yatima ili na wao siku mojamoja walage wali na nyama.

Nipo hapa Pemba ni muda mfupi tumempokea marehemu mhanga wa mafuriko Jangwani Dsm.
Chadema na tamko lao sidhani kama kuna aliyehangaika kupoteza muda wake kulifanyia kazi ama hata kulijibu maana wanasema matamko yamekuwa mengi sana sasa.

Mimi, Pangu Pakavu, ntatoa salam kali kabisa za mwaka jumatatu ijayo, na ntajikita katika kujadili tamko la Cdm na mafuriko.

Nilidhani serikali ingeliwapa mbuzi na mchele wenzetu waliokumbwa na mkasa kumbe hola, nadhani sababu wanazijua 'kiherehere ch wakazi wa jangwani kukaa mitaroni badala ya huko Mbezi.

Source, Channel Ten, saa saba mchanz leoleo.

Nindenga watailemu akakonyagi! sasa tuchangie kipi? nadhani ungeconcentrate katika issue moja kutokana na heading yako ingekuwa vyema zaidi! otakutuletela tamilo aaha!
 
Kova kasema nk marufuku kwa Waislamu kundamana leo, anayebisha ajaribu aone salam za chrismas kutoka FFU!

Wakatki huohuo JK ametoa mbuzi na mchele kwa vituo vya watoto yatima ili na wao siku mojamoja walage wali na nyama.

Nipo hapa Pemba ni muda mfupi tumempokea marehemu mhanga wa mafuriko Jangwani Dsm.
Chadema na tamko lao sidhani kama kuna aliyehangaika kupoteza muda wake kulifanyia kazi ama hata kulijibu maana wanasema matamko yamekuwa mengi sana sasa.

Mimi, Pangu Pakavu, ntatoa salam kali kabisa za mwaka jumatatu ijayo, na ntajikita katika kujadili tamko la Cdm na mafuriko.

Nilidhani serikali ingeliwapa mbuzi na mchele wenzetu waliokumbwa na mkasa kumbe hola, nadhani sababu wanazijua 'kiherehere ch wakazi wa jangwani kukaa mitaroni badala ya huko Mbezi.

Source, Channel Ten, saa saba mchanz leoleo.

hapo kwenye blu : Tbc itakua ni headline leo usiku

 
hapo kwenye blu : Tbc itakua ni headline leo usiku


Ni TBC pekee nilipojifunza yafuatayo:
1. Hata kama raisi anazidi kuboronga,kazi ya tbc ni kutafuta video za mikutano ya kampeni ya hapo kale wakati ambapo jamaa alikuwa kipenzi cha watu...

2. Hata kama raisi ananyemelewa na mamba sentimeta chache kutoka aliposimama...tbc itaonyesha rasi ni rafiki wa mamba hivyo hakuna hatari yeyote kwake.

3. Hata kama ulinzi wa raisi unazidi kuongezwa kila siku hadi kuomba msaada kutoka Islael ni tbc pekee inayojifanya kutoonyesha utitili wa mabodyguard..!

4. Ni tbc pekee ambapo maswali ya chekechea huulizwa kwa watu wenye tuhuma nzito...eti mzee EL vipi msongamano wa magari huko Kigoma ?....brabra..! Pumb@(*v zenu mtafute Lu#@nJo mtwange maswali mazito...
 
Back
Top Bottom