MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Wapendwa wana JF habari za muda.
Ni kweli maandamao yamefanyika katika Jimbo la Karatu ili kumpokea Mb Viti maalum Cecilia Daniel Paresso.
Mimi ninapata shaka katika hilo lililofanyika, Hivi maandamano ni ya nini? Kulipia Pango la Chama hadi utangaze hadharani? kuwasomesha watoto 100 kwa Tsh. 15,000 katika shule za kata ni dili kweli?. Kama ni kueleza mambo ya maendeleo si aitishe Mkutano wa maendeleo. Afanye bwembe za kuja na watu akina Mhe. Lema, Mukya na Kiwanga hayo ni majigambo tu kwa watu wastaarabu angeenda kwa Familia ya Regia Mtema na kuwapata Sukakari ya wazee hao kama pole kwa kufiwa na mtoto wao Regia
Ni kweli maandamao yamefanyika katika Jimbo la Karatu ili kumpokea Mb Viti maalum Cecilia Daniel Paresso.
Mimi ninapata shaka katika hilo lililofanyika, Hivi maandamano ni ya nini? Kulipia Pango la Chama hadi utangaze hadharani? kuwasomesha watoto 100 kwa Tsh. 15,000 katika shule za kata ni dili kweli?. Kama ni kueleza mambo ya maendeleo si aitishe Mkutano wa maendeleo. Afanye bwembe za kuja na watu akina Mhe. Lema, Mukya na Kiwanga hayo ni majigambo tu kwa watu wastaarabu angeenda kwa Familia ya Regia Mtema na kuwapata Sukakari ya wazee hao kama pole kwa kufiwa na mtoto wao Regia