Maandamano Rorya!

JACADUOGO2.

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
930
217
Wananchi wote wa Rorya hasa maeneo ya Shirati bila kujali Itikadi, Dini, Kabila wala Rangi tutafanya maandamano makubwa Alhamisi tarehe 17.11.2011 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Maandamano hayo yataanzia maeneo ya Sota na kuishia Shirati - Obwere ambapo yatapokelewa na wananchi wenye hasira kali na wenye uchungu na nchi yao. Malengo ya maandamano hayo ni:
1. Kudai katiba mpya ya Tanzania
2. Kudai maji na mamlaka ya mji mdogo wa Shirati tuliyoahidiwa na waziri mkuu (Pinda) lakini baada ya CCM kushindwa na CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Mkoma uliyofanyika 2/10/2011, CCM walikaa kikao cha kamati ya siasa na maadili na kuamua kuwa zoezi la kupeleka mamlaka ya mji mdogo na maji Shirati lisitishwe hadi baada ya 2015 kama CCM watashinda udiwani kwenye kata hii Mkoma na kwamba wakipeleka maji na mji mdogo Shirati itaonekana kuwa CHADEMA ndiyo wamefanya hayo yote na CHADEMA itaimarika ndani ya Rorya!
Kikao hicho kilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Rorya, M/kiti wa CCM wilaya, Katibu wa CCM wilaya na wajumbe wengine wawili na tuna nakala ya hicho kikao na hayo maamuzi ya kipumbavu na ya kijinga!
Wote mliokaribu tunawakaribisha ili mtuunge mkono kwa mafanikio makubwa zaidi.
 
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
Watu wengine bwana mkiambiwa hamna akili mnadai tuache matusi, hivi hapa JF ni wapi?, mbona mimi nipo huku kikazi JF inapatikana? Au umekelemishwa kwamba JF nayo ni ya Moshi, Arusha na kanisani
 
Kawatangazie Rorya huko...hapa siyo mahali pake!
wewe mbona upo hapo kupingapinga kila kitu?? are you one of the great thinkers?? I guess not!! unataka aposti wapi hii thread? siku ya ukombozi ikifika you may the sacrifice, blood idiot!!!
 
mahali pake ni wapi? ki.cha.a wewe!!!
Unganisha tu hiyo sentensi, huna haja ya kutumia vinukta...mods by this time wamelala!

Watu wengine bwana mkiambiwa hamna akili mnadai tuache matusi, hivi hapa JF ni wapi?, mbona mimi nipo huku kikazi JF inapatikana? Au umekelemishwa kwamba JF nayo ni ya Moshi, Arusha na kanisani
Siyo kila mtu anataka kusikia shida za Rorya...waache wafu wazikane!
acha bange zako
ushaniona nikitumia au?
rejao unawashwa na nini maana mh.......
Nawashwa na koo...nahitaji sprite baridi!
 
Wananchi wote wa Rorya hasa maeneo ya Shirati bila kujali Itikadi, Dini, Kabila wala Rangi tutafanya maandamano makubwa Alhamisi tarehe 17.11.2011 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Maandamano hayo yataanzia maeneo ya Sota na kuishia Shirati - Obwere ambapo yatapokelewa na wananchi wenye hasira kali na wenye uchungu na nchi yao. Malengo ya maandamano hayo ni:
1. Kudai katiba mpya ya Tanzania
2. Kudai maji na mamlaka ya mji mdogo wa Shirati tuliyoahidiwa na waziri mkuu (Pinda) lakini baada ya CCM kushindwa na CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Mkoma uliyofanyika 2/10/2011, CCM walikaa kikao cha kamati ya siasa na maadili na kuamua kuwa zoezi la kupeleka mamlaka ya mji mdogo na maji Shirati lisitishwe hadi baada ya 2015 kama CCM watashinda udiwani kwenye kata hii Mkoma na kwamba wakipeleka maji na mji mdogo Shirati itaonekana kuwa CHADEMA ndiyo wamefanya hayo yote na CHADEMA itaimarika ndani ya Rorya!
Kikao hicho kilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Rorya, M/kiti wa CCM wilaya, Katibu wa CCM wilaya na wajumbe wengine wawili na tuna nakala ya hicho kikao na hayo maamuzi ya kipumbavu na ya kijinga!
Wote mliokaribu tunawakaribisha ili mtuunge mkono kwa mafanikio makubwa zaidi.
Nina wasiwasi kama wanachi wa Rorya wanaelewa kuhusu mchakato wa katiba!
 
Hey people!

Kuandamana ni haki na ni sawa tu kwa kila mwenye hitaji halalai na kwa maana inayoeleweka. Tahadhari tusihusishe kila andamano na CHADEMA....tusije tukakuta hata makundi yasiyoeleweka yanadai kufanya maandamano kwa jina la CHADEMA!
 
Wananchi wote wa Rorya hasa maeneo ya Shirati bila kujali Itikadi, Dini, Kabila wala Rangi tutafanya maandamano makubwa Alhamisi tarehe 17.11.2011 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Maandamano hayo yataanzia maeneo ya Sota na kuishia Shirati - Obwere ambapo yatapokelewa na wananchi wenye hasira kali na wenye uchungu na nchi yao. Malengo ya maandamano hayo ni:
1. Kudai katiba mpya ya Tanzania
2. Kudai maji na mamlaka ya mji mdogo wa Shirati tuliyoahidiwa na waziri mkuu (Pinda) lakini baada ya CCM kushindwa na CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Mkoma uliyofanyika 2/10/2011, CCM walikaa kikao cha kamati ya siasa na maadili na kuamua kuwa zoezi la kupeleka mamlaka ya mji mdogo na maji Shirati lisitishwe hadi baada ya 2015 kama CCM watashinda udiwani kwenye kata hii Mkoma na kwamba wakipeleka maji na mji mdogo Shirati itaonekana kuwa CHADEMA ndiyo wamefanya hayo yote na CHADEMA itaimarika ndani ya Rorya!
Kikao hicho kilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Rorya, M/kiti wa CCM wilaya, Katibu wa CCM wilaya na wajumbe wengine wawili na tuna nakala ya hicho kikao na hayo maamuzi ya kipumbavu na ya kijinga!
Wote mliokaribu tunawakaribisha ili mtuunge mkono kwa mafanikio makubwa zaidi.

mhh kazi ipo mwaka huu
 
Back
Top Bottom