Wanaelekea Mlimani, naona kama wako disorganised hivi na ngungutri nomewaona wameshatinga na magari yao hapa kwenye njia ya kuelekea kwenye hosteli zao lakini wameshaanza kuandamanaWanaandamana kuelekea wapi mbona taarifa ziko juu juu.
Ahahaaaaah!! Unamaanisha hatuna serikali!!Hii nchi jamani vipi? Mbona kama Somalia?