Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
- Thread starter
- #61
Na wala haitawezekana milele..ni siasa za kudai haki na kupinga udhalimu.
..Ccm wanataka Tz iwe na wapinzani watakaofumbia macho udhalimu, na wasiodai haki.
Na wala haitawezekana milele..ni siasa za kudai haki na kupinga udhalimu.
..Ccm wanataka Tz iwe na wapinzani watakaofumbia macho udhalimu, na wasiodai haki.
Eeeeh Bhwanah, ukumbi kweli.Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Yuko Mara , anaamkia hadi watoto kutokana na mchecheto , ameponea chupuchupu kung'olewa wiki chache zilizopitaEeeeh Bhwanah, ukumbi kweli.
Nyuma kidogo huyu mtu (mmiliki) angetishiwa kufilisiwa au kunyimwa tenda popote, kama siyo kutishiwa uhai wake!
Kidogo kidogo tunarudi kwenye mstari. Hivi yule kichwamaji (mkuu wa mkoa) aliyekuwa huko siku hizi yupo wapi?
Watu hawa sijui wanajisikiaje sasa!
Shaka hajawahi kumuita Mbowe GaidiVibaka waliokuwa wanamwita Mwamba kuwa ni gaidi sasa hivi wanamwita kuwa ni Mheshimiwa🐒🐒🐒
View attachment 2142283
View attachment 2142385
Lissu na dada yake wametoka mbali, kuna heshima kati yao, ataongea lakini siyo kwa kiwango kile alichoongea kipindi cha bwana yuleKwi kwi kwi,, Tena hizo Siasa anaziweza Lissu na anakuja, andaeni kesi Sasa
Kila jambo na wakati wake, hata Mbowe kasema hilo, hawezi kuingia kichwa kichwa na kurekebisha kila kitu alichokikuta overnight, hata barakoa alianza kuvaa baada ya kupita kama mwezi fulani hivi since achukue madaraka, kuweni na subiraHili ni tatizo kwa vyama vya upinzani, hakuna uwanja sawa na CCM. Sijui SSH halioni hili kwamba ni tatizo kwa democracy yetu??
Mungu ibariki CHADEMA!Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Vibaka waliokuwa wanamwita Mwamba kuwa ni gaidi sasa hivi wanamwita kuwa ni Mheshimiwa
View attachment 2142283
View attachment 2142385
UtatapikaMkuu huu ukumbi utatosha kweli?maana kina mama wa chadema hawanaga kazi ndogo
Limefanyiwa kazi hiloTanesco watakata umeme, waambie waandae Jenereta la standby
Hata maandalizi ya harusi mtaani yanakua hivyo,mbona kawaida tu!
Naona umejitwisha mzigo wa "Msemaji". Yule binti hawezi, au usemaji wako ni wa huku mitandaoni tu basi?Kila jambo na wakati wake, hata Mbowe kasema hilo, hawezi kuingia kichwa kichwa na kurekebisha kila kitu alichokikuta overnight, hata barakoa alianza kuvaa baada ya kupita kama mwezi fulani hivi since achukue madaraka, kuweni na subira
Kwa akili yako unadhani "katulizwa"? Mbona ndio kama amesukumwa na kupewa nguvu zaidi ya kudai hayo hayo, na pengine zaidi?Alimdharau mama kwa kuanzisha madai ya katiba na kushinikiza kukutana na Mama...ilihali miaka 5 alitulia kimya enzi mwenda zake hakudai kongamano ya katiba .....lengo kumtuliza
Acha ujinga wewe anaongea na Bavicha siyo TAIFA.Ukumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Uko sahihi ila hao wengine wamehamia kwa muda Ipogolo, akiondoka watarudi.Mkuu huu ukumbi si uko karibu na kikosi cha FFU Iringa au nimechanganya?
Huyu ni Gaidi tu hata kama katoka baada ya kulamba miguu ya pilato, aje atueleze Chacha Wangwe nini kilimtokea? Vinginevyo sisi kama Jamii bado tutamhesabu kama gaidi hatari sanaUkumbi huu unaitwa Usambara Hall , uko Mjini Iringa , Hapa ndipo shughuli ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na mabingwa wa shughuli za akina mama BAWACHA itafanyika .
Shughuli hii ibatarajiwa kuhutubiwa na Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar .
View attachment 2142382
Mitandaoni ChiefNaona umejitwisha mzigo wa "Msemaji". Yule binti hawezi, au usemaji wako ni wa huku mitandaoni tu basi?
Mdude CHADEMA akitukana mbele yake na bila kumchukulia hatua ni sawa na katukana Mbowe. Kumbuka mkutano wa Baraccuda Tabata, Juni 2021Ficha boga lako kichwani na wewe.amemtukana nani???
Walidai Chief, mwanzoni, walipoona hali inazidi kuwa ngumu wakaja na UKUTA, Jiwe akawapiga mkwara 'hajaribiwi', then zikaja zile jitihada na Mange ambazo zilizimwa na maandamano ya Jeshi April, 2017. Baada ya pale Jiwe akaamua awe aggressive zaidi, ndipo likatokea lililotokea Sept. 2017, since then wapinzani wakapoa, hawakuamini kilichotokea. Lakini hilo halikuwazuia kuongea piaAlimdharau mama kwa kuanzisha madai ya katiba na kushinikiza kukutana na Mama...ilihali miaka 5 alitulia kimya enzi mwenda zake hakudai kongamano ya katiba .....lengo kumtuliza