Maamuzi ya TANESCO?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,748
Huku ninapoishi kumekuwa na katizo la umeme since jana mpaka mda huu usiku haujarudi. Nimempigina injinia mmoja wa Tanesco amenihabarisha kuwa kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya umeme. Na siku chache zijazo kutakuwa total blackout.... lakini vyanzo vingine kutoka huko vinasema kuwa umeme siyo tatizo kama linavyokuzwa sasa ila kuna mpango na order kutoka juu kutengeneza upungufu wa lazima.......

Jamani nchi kukosa umeme ni maamuzi ya TANESCO au kuna mtu anatuhujumu?
What you think?
 
Inauma sana kuona tunatendewa kama watoto vile.
Miaka 50 ya uhuru bado umeme ni janga la kitaifa wakati tupo kwenye zama za teknolojia.....
Kura waibe na bado washindwe kudeliver tija.... aaargh!
 
Huku ninapoishi kumekuwa na katizo la umeme since jana mpaka mda huu usiku haujarudi. Nimempigina injinia mmoja wa Tanesco amenihabarisha kuwa kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya umeme. Na siku chache zijazo kutakuwa total blackout.... lakini vyanzo vingine kutoka huko vinasema kuwa umeme siyo tatizo kama linavyokuzwa sasa ila kuna mpango na order kutoka juu kutengeneza upungufu wa lazima.......

Jamani nchi kukosa umeme ni maamuzi ya TANESCO au kuna mtu anatuhujumu?
What you think?

Hawa jamaa vp? nao wanakubali kuendeshwa kisiasa?

wakati Mtera na Kihansi tunaambiwa maji yapo full mpaka wanataka kuyatapisha
 
tatizo ni kwamba we re talking too much. 5oyrs tangu uhuru! when still putting our a*s down. lets get up. look how the egyptian did, there are not poor like us but they demand more. we are fu**n poor still we dont act. non sense.
 
Huku ninapoishi kumekuwa na katizo la umeme since jana mpaka mda huu usiku haujarudi. Nimempigina injinia mmoja wa Tanesco amenihabarisha kuwa kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya umeme. Na siku chache zijazo kutakuwa total blackout.... lakini vyanzo vingine kutoka huko vinasema kuwa umeme siyo tatizo kama linavyokuzwa sasa ila kuna mpango na order kutoka juu kutengeneza upungufu wa lazima.......

Jamani nchi kukosa umeme ni maamuzi ya TANESCO au kuna mtu anatuhujumu?
What you think?
Hapo kwenye bluu......ili iweje!!
 
Back
Top Bottom