Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Huku ninapoishi kumekuwa na katizo la umeme since jana mpaka mda huu usiku haujarudi. Nimempigina injinia mmoja wa Tanesco amenihabarisha kuwa kuna upungufu mkubwa kwenye vyanzo vya umeme. Na siku chache zijazo kutakuwa total blackout.... lakini vyanzo vingine kutoka huko vinasema kuwa umeme siyo tatizo kama linavyokuzwa sasa ila kuna mpango na order kutoka juu kutengeneza upungufu wa lazima.......
Jamani nchi kukosa umeme ni maamuzi ya TANESCO au kuna mtu anatuhujumu?
What you think?
Jamani nchi kukosa umeme ni maamuzi ya TANESCO au kuna mtu anatuhujumu?
What you think?