ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
1) Vigogo.....hawawezi tena kuhonga magari, Nyumba na kusomesha vibinti vya chuo kwa sababu posho marupurupu na safari hamna.
2) Wafanyakazi wa kati......hawatabadilisha vigari wala kuhonga Samsung au iPhone kwa vibinti vya chuo kwa sababu hakuna madokezo na wanalazimika kujibana kamshahara hakatoshi,
3) Wanaojiuza Dodoma wakati wa bunge na waliopanga majumba ya kifahari mjini watapoteza wateja wakubwa wakubwa wanaojua kuhonga kwa sababu wateja hao watalazimika kuhudumia familia zao kukwepa gharama ya mapenzi.
4) Wenye Nyumba wtashusha kodi kwa sababu watu wengi watahama kutoka Nyumba nzima mpaka chumba na sebule kwani kipato kimepungua
5) Bei ya machangudoa kuporomoka kwa sababu hata wale wanaojiuza kwa gharama eti 1,000,000 kwa wiki au gari kwa mwezi wataanza kuchukua 7000 hivyo kuongeza ushindani na bei kushuka
6) Mahusiano ya wanafunzi kwa wanafunzi hasa vyuoni yatadumu kwa sababu mabinti wa chuo watalazimika kukaa na maboyfrend zao ili wapate vihela vya kula hostel
7) Wauzaji wa simu hasa Maduka ya Samsung na iPhone yatashuka kimauzo kwa kuwa idadi kubwa ya mabinti watahamia simu za kichina kwa kuwa mabuzi hayahongi tena baada ya posho na marupurupu kukatwa
8) Ugomvi ndani ya familia bora kwa sababu walizoea kula kusaza sasa wataanza kuishi kwa budget yaani sausage, mayai kuku kwenye friji hamna.
9) Heshima itaongezeka kwan wale waliizoea kuwachimba watu mikwara eti unanijua mimi nani kisa anamjua Rais au Rafiki wa karibu wa Rais au vijisenti watapungua kwa kiasi kikubwa
10) Heshima kwenye mahusiano hasa mabinti kwa mabwana zao itaongezeka kwa kuwa uzuri sio dili wahongaji hakuna hivyo watalazimika kuwanyenyekea boyfrend zao wawatunze.
Dah JPM bwana ni nouma maana anarudisha heshima kitaani.
2) Wafanyakazi wa kati......hawatabadilisha vigari wala kuhonga Samsung au iPhone kwa vibinti vya chuo kwa sababu hakuna madokezo na wanalazimika kujibana kamshahara hakatoshi,
3) Wanaojiuza Dodoma wakati wa bunge na waliopanga majumba ya kifahari mjini watapoteza wateja wakubwa wakubwa wanaojua kuhonga kwa sababu wateja hao watalazimika kuhudumia familia zao kukwepa gharama ya mapenzi.
4) Wenye Nyumba wtashusha kodi kwa sababu watu wengi watahama kutoka Nyumba nzima mpaka chumba na sebule kwani kipato kimepungua
5) Bei ya machangudoa kuporomoka kwa sababu hata wale wanaojiuza kwa gharama eti 1,000,000 kwa wiki au gari kwa mwezi wataanza kuchukua 7000 hivyo kuongeza ushindani na bei kushuka
6) Mahusiano ya wanafunzi kwa wanafunzi hasa vyuoni yatadumu kwa sababu mabinti wa chuo watalazimika kukaa na maboyfrend zao ili wapate vihela vya kula hostel
7) Wauzaji wa simu hasa Maduka ya Samsung na iPhone yatashuka kimauzo kwa kuwa idadi kubwa ya mabinti watahamia simu za kichina kwa kuwa mabuzi hayahongi tena baada ya posho na marupurupu kukatwa
8) Ugomvi ndani ya familia bora kwa sababu walizoea kula kusaza sasa wataanza kuishi kwa budget yaani sausage, mayai kuku kwenye friji hamna.
9) Heshima itaongezeka kwan wale waliizoea kuwachimba watu mikwara eti unanijua mimi nani kisa anamjua Rais au Rafiki wa karibu wa Rais au vijisenti watapungua kwa kiasi kikubwa
10) Heshima kwenye mahusiano hasa mabinti kwa mabwana zao itaongezeka kwa kuwa uzuri sio dili wahongaji hakuna hivyo watalazimika kuwanyenyekea boyfrend zao wawatunze.
Dah JPM bwana ni nouma maana anarudisha heshima kitaani.