Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Naombeni mnipokee, rasmi nimejiunga kwenye umoja wa wanywaji Tanzania baada ya kupata kazi inayonilazimu kumwagilia moyo!
Kuna vingi vya kutazama ukiwa bar ukiondoa nyuso za watoto wazuri. Navutiwa na bar ambazo utakuta kuna vijana wana perform muziki fulani hivi tulivu kwenye vijukwaa uchwara! Hakika mawazo yangu hupotelea hapo!
Kwa watu wa Dar, tusaidizane kujulishana mahali bar hizi hupatikana. Ni vizuri kutujuza na ka location.
Nawasilisha.
Kuna vingi vya kutazama ukiwa bar ukiondoa nyuso za watoto wazuri. Navutiwa na bar ambazo utakuta kuna vijana wana perform muziki fulani hivi tulivu kwenye vijukwaa uchwara! Hakika mawazo yangu hupotelea hapo!
Kwa watu wa Dar, tusaidizane kujulishana mahali bar hizi hupatikana. Ni vizuri kutujuza na ka location.
Nawasilisha.