Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba



Soma vizuri andiko,lengo ni kuonyesha kuwa kilimo sio shughuli pekee ya kujenga uchumi wa nchi
Sio kila sehemu wana lima. Kilimo ni uti wa mgongo wa Tanzania sio Africa. Usijisahau maneno hayo yalitoka kwa nani, Tanzania tunategemea kilimo kwa asilimia hamsin. 95-97 kwaajili ya consumption. Siisi Tanzania au muite basi Tanganyika,
Zanzibar wana avergae ya trilioni 2 tsh wanapata kupitia huduma haswa utaliii. Si kilimo. Kilimo chao pekee ni samaki top.
 
Kweli kilimo si UTI wa mgongo, sema kinasaidia kumpunguza ghalama na utegemezi. Kama juzi tulivyosikia Putin analipua ghala za ngano uko Ukraine, mpaka Dunia ikapiga magoti. Kama unamihogo shambani unatoa unakula, huku unasubiri waendekee kupigana.

Kwa Sasa Hata kama unapesa chakula nje ni shida Dollar za manati na bei juu.
 
Sio kila Mji/Nchi inategemea kilimo tu kwenye uchumi wao,

Saudi Arabia wanalima? Dubai,Qatar,Singapore.....huko wote wanategemea kilimo?
Hizo tende unazokula ramadhani na nyama ya mbuzi vinatoka saudi,mafuta ya korie na oki yanatoka malaysia na singapore
 
Hizo tende unazokula ramadhani na nyama ya mbuzi vinatoka saudi,mafuta ya korie na oki yanatoka malaysia na singapore
Sasa kama unatolea mfano wa vitu vidogo kiasi hicho,basi na mimi nikwambie kua,hizo Karafuu unazoziona bara zinatoka Zanzibar,

Hizo nyama za Mbuzi unazopata toka Saudi ni imported,ambazo huagizwa rasmi hasa wakati wa kipindi cha watu kuhiji ili wachinje na kutimiza ibada ya hijja zao,ndio hizo nyama baadae hutawanywa kama msaada, kingine mafuta ya kula yanapotoka nchi fulani haimaanisha materials yake wanalima wao,kuna nchi zinakua na viwanda vya kuchakata tu ila materials zinatoka nje.
 
Sasa kama unatolea mfano wa vitu vidogo kiasi hicho,basi na mimi nikwambie kua,hizo Karafuu unazoziona bara zinatoka Zanzibar,

Hizo nyama za Mbuzi unazopata toka Saudi ni imported,ambazo huagizwa rasmi hasa wakati wa kipindi cha watu kuhiji ili wachinje na kutimiza ibada ya hijja zao,ndio hizo nyama baadae hutawanywa kama msaada, kingine mafuta ya kula yanapotoka nchi fulani haimaanisha materials yake wanalima wao,kuna nchi zinakua na viwanda vya kuchakata tu ila materials zinatoka nje.
Fuatilia agricultire in saudi arabia ,wanalima ngano,dates,vegetabkes,wanafuga sana kuku wa nyama na mayai,mafuta ya kula ya singapore na malaysia ni project kubwa sana wamewekeza huko,usikariri ndugu
 
Znzibat
Zanzibar pesa waonazipata kwenye,uvuvi na biashara za ndani na nje ya nchi na wanunuzi wakubwa wa mazao ya bara na kuuza Zanzibar pia ndio wafanyabiashara wakubwa bara mfano wapemba wamejaa huku wakifanya biashara bara na Zanzibar Pia ndio wameshika sekta ya utalii kuanzia sehemu za vyakula,nyumba za kupangisha wafanyakazi wa sekta ya utalii kama mahoteli nk hupanga vyumba vya nyumba zao Kwa bei Kali na wapangaji wengi wafanyakazi huko wanataka bara ambao wamejazana hasa kwenye kazi za mahoteli mamia ya kitalii yaliyoko Zanzibar .

Mleta mada unaonyesha hujafika Zanzibar

Ferry Dar wavuvi wa Zanzibar huleta samaki Kila siku wakiuza
Zanzibar kuna watu wanashindia uji mzee 😃

Zanzibar kuna watu wanashindia uji mzee 😃😃😃

Wanakula vizuri nadikidiko kuliko wanaoshinda mashambani huko bara,
Hapana mkuu Wanzanzibar hawajui kula vizur vyakula vyao Virginia ni kutoka nje na vibovu ndiyo maana wanawahi kufa mapema na kuzeeka mapema yani Umri wa kuishi Kwa Zanzibar upo chini sana, yani Ukienda Vijijini na mjini kukuta wazee ni ngumu sana yani kwenye Vijana kumi wenye umri wa miaka 35 Baba zao wote wamefariki, Mtumzima wa miaka 50 kwa Zanzibar kimuonekano ni mzee sana yani Wanzanzibar wanawahi kuzeeka, Sababu ya kuwahi kuzeeka ni aina ya maisha wanayoisho kwa mfano wao kunywa chai ya Maziwa, mkate na Blue band awali, Wao kuku wa kienyeji awali nyegere. Wao wanapenda kula kuku kutoka Brazili wanaletwa kwenye makontena na Michele kutoka Vietnam isiyofaa kwa maximizing ya Binadamu.
 
Mzanzibari asipota riziki yake Siku hiyo ansjilaumi mwenyewe

Mwanachadema asipopata riziki Siku hiyo analaumu CCM ,Katiba iliyopo na Muungano wa Tanzania na zanzibar
 
Hujafika zenj wewe! Umaskini uliopo huko, ni balaa, nenda paje,uroa, understand uone umaskini, hakuna cha ajqbu, bila ma hotel ya kitalii, fedha ni ngumu zenj, vijana kama sio madereva wana kuwa beach Boys, sex toys, kazi, za mahotelini,zinafanywa sana na mabinti kutoka Bara, wa zenj, Imani za, dini ni kikwazo, mabinti wa, zenj, wao ni kuzaa tu na kuvaa ushungi! Na kusubili pipe usiku
Mkuu huwezi kulinganisha umaskini wa Bara na Zanzibar..pamoja na umaskini Zanzibar wako mbele kulingana na sisi ..

Huduma za kijamii zinazopatikana Zanzibar ninangalau kuliko za Bara,

Mzunguko wa pesa kwa Zanzibar ni kubwa kuliko Bara

Hii inatokana na udogo wa Zanzibar kulinganisha na Bara..

Ninapongelea Bara naongelea vijijini huko ndani ndani.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hujafika zenj wewe! Umaskini uliopo huko, ni balaa, nenda paje,uroa, understand uone umaskini, hakuna cha ajqbu, bila ma hotel ya kitalii, fedha ni ngumu zenj, vijana kama sio madereva wana kuwa beach Boys, sex toys, kazi, za mahotelini,zinafanywa sana na mabinti kutoka Bara, wa zenj, Imani za, dini ni kikwazo, mabinti wa, zenj, wao ni kuzaa tu na kuvaa ushungi! Na kusubili pipe usiku
Mboga tembele,mchicha na kisamvu kimejaa tele. Tungule ndio kibao inategemea na msimu lkn, ndimu zipo, kuna mihogo, viazi, ndizi mkono wa tembo na mtwike kama zote. Asilimia kubwa ya wazanzibar wanatumia mchele wa mapembe au jasmine ambao unaletwa kutoka nchi za nje pamoja na basmat.. baadhi ndio wanatumia mbeya ambao ndio unatoka bara.
Wasichana wa kizanzibar kweli wengi wao kufanya kazi za mahoteli ni changamoto ndio maana aslimia kubwa wanaofanya kazi za mahoteli ni from mainland. Lkn sio kweli kama kazi zao ni kuvaa ushungi na kuzaa tu. Kuna wanawake wengi tu wamejaa maofisini, kuna walimu, kuna madaktari, kuna engineers, kuna bankers, kuna wanaofanya biashara za ujasiriamali na kuna wanaomiliki biashara kubwa tu za maduka ya nguo n.k. wanzanzibar wamechangamka sana kwa sasa. Labda km wewe umeende vijijini huko, acha kusema uongo utadhani zanzibar watu hawaijui unaijua pekeyako
 
Mkuu huwezi kulinganisha umaskini wa Bara na Zanzibar..pamoja na umaskini Zanzibar wako mbele kulingana na sisi ..

Huduma za kijamii zinazopatikana Zanzibar ninangalau kuliko za Bara,

Mzunguko wa pesa kwa Zanzibar ni kubwa kuliko Bara

Hii inatokana na udogo wa Zanzibar kulinganisha na Bara..

Ninapongelea Bara naongelea vijijini huko ndani ndani.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wengine wakiongelea bara wanaongelea miji tu wanadhani hatujui maisha ya watu wa vijijini. Kuna wasichana wa kazi wanakuja zenji from bara wananuka kama fungo. Hawajui chcht inaanza nae alif kwa ujiti kama mtt mchanga
 
Znzibat






Hapana mkuu Wanzanzibar hawajui kula vizur vyakula vyao Virginia ni kutoka nje na vibovu ndiyo maana wanawahi kufa mapema na kuzeeka mapema yani Umri wa kuishi Kwa Zanzibar upo chini sana, yani Ukienda Vijijini na mjini kukuta wazee ni ngumu sana yani kwenye Vijana kumi wenye umri wa miaka 35 Baba zao wote wamefariki, Mtumzima wa miaka 50 kwa Zanzibar kimuonekano ni mzee sana yani Wanzanzibar wanawahi kuzeeka, Sababu ya kuwahi kuzeeka ni aina ya maisha wanayoisho kwa mfano wao kunywa chai ya Maziwa, mkate na Blue band awali, Wao kuku wa kienyeji awali nyegere. Wao wanapenda kula kuku kutoka Brazili wanaletwa kwenye makontena na Michele kutoka Vietnam isiyofaa kwa maximizing ya Binadamu.
Sio kweli. Zanzibar mboga za majani zinalimwa sana tu. Na kuna baadhi pia wanalima mpunga wa chakula. Matunda pia yapo ya kutosha pia. Huko vijijini unakokisema ndio umebugi, maan wao ndio wanakula sn organic. Viazi, ndizi, mihogo, samaki na mbogamboga ndio chakula chao kikuu na ukienda makondeni kwao watu wazima wa miaka 60 na zaidi bado wanalima. Msipotoshe watu wanastaafu miaka 60 na bado wapo fit. Kukuta mtu mzima wa miaka 60 mpk 70 anafanya mazoezi njiani ni kawaida tu. Watu wakimaliza kuswali alfajiri wanapiga tizi tena wapo karb na bahari ndio kabisa, na ni aslimia ndogo sn kwa wanaokunywa pombe kwa hio ndio kabisa hakuna kuzeeka zeeka kusiko na mpango
 
Back
Top Bottom