Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Siasa za Tanzania zina vituko vingi. Juzi vyombo vya habari vimeripoti kuwa Waziri wa Ujenzi Dr. Magufuli amejiuzuru wadhifa wake. Kwa mshangao wangu, Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi akakanusha kwenye vyombo vya habari. Kuna maswali mengi hapa. 1. Je Katibu mkuu wa Wizara ndiye msemaji wa Serikali ya Tanzania?
2. Aliyeripotiwa kujiuzuru ni Magufuli, inakuwaje asemewe na watu wengine? Kwanini Magufuli mwenyewe hakukanusa "uvumi huo"?
3. Hivi waziri wa habari wa Tanzania anafanyakazi gani kama siyo kutoa taarifa za serikali.?
2. Aliyeripotiwa kujiuzuru ni Magufuli, inakuwaje asemewe na watu wengine? Kwanini Magufuli mwenyewe hakukanusa "uvumi huo"?
3. Hivi waziri wa habari wa Tanzania anafanyakazi gani kama siyo kutoa taarifa za serikali.?