Maajabu ya octoba 2010 haitatokea tena karibuni

Tausi Mzalendo

JF-Expert Member
May 23, 2010
1,471
722
Mwezi October 2010 una maajabu yafuatayo:



Ijumaa 5, Jumamosi 5 na Jumapili 5 zote ndani ya mwezi mmoja!




Inatokea mara moja kila baada ya miaka 823
 
Mwezi October 2010 una maajabu yafuatayo:



Ijumaa 5, Jumamosi 5 na Jumapili 5 zote ndani ya mwezi mmoja!




Inatokea mara moja kila baada ya miaka 823

Sikubaliani na wewe, ipo miezi mingine kama July 2011, March 2013, August 2014, May 2015, January 2016 n.k
 
Mwezi October 2010 una maajabu yafuatayo:



Ijumaa 5, Jumamosi 5 na Jumapili 5 zote ndani ya mwezi mmoja!




Inatokea mara moja kila baada ya miaka 823
Na ajabu nyingine kubwa kabisa kwa Tanzania, itatokea October 31, haijawahi kutokea tangu tupate uhuru na wengi hawataamini kuwa ni kweli itatokea, subirini muujiza huo wa kubwa kuliko!
 
Back
Top Bottom