Maajabu ya AU: Mashujaa wa Africa!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Habari za muda mchache uliopita kutoka Addis, Ethiopia ni kwamba leo AU imetundika picha za Mashujaa wa Africa katika kuta za kumbi zake, lakini hakuna picha za Mwalimu Nyerere, Dr. Kaunda!

- UJUMBE HAPA: Kwanza Bajeti ya AU 80% ni kutoka EU, je ni wao ndio wameamua kuandika upya historia au kuna something we don't know? HOWEVER: Mimi nilidhani mambo ya fitna ni bongo tu kumbe ni mzimu unatutafuna Africa nzima, wote tumekalia roho mbaya, fitina, chuki na wivu; I mean nani anaweza kuwa Shujaa katika Africa kuliko Kaunda, Mwalimu na Nkurumah?

- Kumbe Africans wote tupo sawa tu, sasa ngoja wenye nguvu watuandikie historia kwa sababu tu ya kutupa makombo kidogo!!! Kwa nini Tanzania tusi-protest Officially huko Addis, maana it does not make any sense kwa kweli!!

Biig Shoow!!
 
Si kweli; Picha ya Juliasi ipo

Lete mchakato wa bajeti ya AU na pia lete sources zako zenye kudai kuwa 80% ya bajeti ya AU imetoka EU

Analysis zako factually ziko wrong on all levels na nashangaa kwa msomi kama wewe ambaye ushafanya kazi mpaka UN unaleta thread bila sources za kuback up hayo maneno.
 
William bana kumbe kabuni tu au ndo muendelezo wa chuk kwa Nyerere alivompinga mzee wako hapo ukajifanya umesikitika kwann Mwl kaachwa kumbe umefurahia mwe!!
 
Hivi huyusomi!! Mbona alishindwa kujieleza kwa kidhungu kule dodom....
 
Si kweli; Picha ya Juliasi ipo

Lete mchakato wa bajeti ya AU na pia lete sources zako zenye kudai kuwa 80% ya bajeti ya AU imetoka EU

Analysis zako factually ziko wrong on all levels na nashangaa kwa msomi kama wewe ambaye ushafanya kazi mpaka UN unaleta thread bila sources za kuback up hayo maneno.

"It was shocking today at the AU meeting when they were unveiling pictures of heros of Africa, the was none of Mwalimu Nyerere, Kwame Nkurumah or even Dr Kaunda ... that's why in the corridors you here that AU has become EU-AU.. 80% of her budgget comes from outside Africa mostly EU.. now they even want to re write our history....too sad"

Source: RK WAll Facebook

- Huu ni ujumbe kutoka kwa mtu aliyeko huko ukumbini Addis ambako haya yanafanyika sasa hivi, so relax sihitaji kukujadili as you did kwa sababu una hasira za matatizo yako binafsi unadhani ni mimi, I got nothing to do na your problems!!

Biig Show!!
 
si kweli

Picha ya Juliasi ipo

Lete mchakato wa bajeti ya AU na pia lete sources zako zenye kudai kuwa 80% ya bajeti ya AU imetoka EU

Analysis zako factually ziko wrong on al levels na nashangaa kwa msomi kama wewe ambaye ushafanya kazi mpaka UN unalea thread bila sources za kuback up hayo maneno.


Ilo la Picha ya Nyerere sina uwakika nalo(siko Addis) lakini kuhusu 80% ya Budget ya AU ni pesa kutoka EU ni kweli. AU wenyewe wanakili ilo na wanaita ni pesa kutoka kwa "Development Partners". check paragraph ya 3 kutoka chini kwa iyo link http://www.au.int/en/sites/default/files/PR.05 OPENING OF PRC 9.7.12.pdf . kwa mchakato zaidi wa budget yao unaweza check pia paragraph 24-25 ya “Opening Speech of the 24th Ordinary Session of the Permanent Representatives Committee by BY H.E. Mr. Erastus Mwencha Deputy Chairperson of the African Union Commission. Addis Ababa, 9th July 2012” (Home | African Union.) Hata kwa budget za miaka ya nyuma hali ndio hiyo hapo juu (80%). So kwa ili la budget Le Mutuz yuko sawa.
 
Inategemea picha hizo zilikuwa ni za watu wa generation ipi; iwapo ni generation ya AU, ambayo ilianza baada ya Nyerere kuacha siasa, basi hatakuwamo. Ila kama ni za generation ya OAU, basi hilo ni kosa ambalo huenda limetokea kwa bahati mbaya, au labda (in the worst case) serikali Tanzania haikutaka picha ya Nyerere iwekwe; kumbuka kuwa AU inakuwa controlled na member states.

Kutokuweka picha ya Nyerere hakubadilishi historia ya OAU kuwa yeye ni kati ya waanzilishi; in fact ukisoma Encyclopaedia Britannica utaona kuwa Nyerere alikuwa ni mmoja wa force kubwa. Ona picha hii hapa; je unaweza kumwona Julius?

oAU.JPG
 
Ilo la Picha ya Nyerere sina uwakika nalo(siko Addis) lakini kuhusu 80% ya Budget ya AU ni pesa kutoka EU ni kweli. AU wenyewe wanakili ilo na wanaita ni pesa kutoka kwa "Development Partners". check paragraph ya 3 kutoka chini kwa iyo link http://www.au.int/en/sites/default/files/PR.05 OPENING OF PRC 9.7.12.pdf . kwa mchakato zaidi wa budget yao unaweza check pia paragraph 24-25 ya "Opening Speech of the 24th Ordinary Session of the Permanent Representatives Committee by BY H.E. Mr. Erastus Mwencha Deputy Chairperson of the African Union Commission. Addis Ababa, 9th July 2012" (Home | African Union.) Hata kwa budget za miaka ya nyuma hali ndio hiyo hapo juu (80%). So kwa ili la budget Le Mutuz yuko sawa.

inayobakia (20%) inatoka China. Kumbuka pia kuwa China ndio imejenga jengo jipya la AU na samani zote zilizomo - "BUREEEEEEEEEEEEEEEE". Kwa hivyo jamani kuuzwa kwa nchi sio Tanzania tu bali ndio huo mtindio wa akili wa watawala wetu wa kizazi hiki. Wanafikiri wanapoambiwa ni "BUREEEEE" ni "BUREEEE" kweli!!!!! Tunauza mother Africa yetu kwa bei poa kama waD-poas.
 
le Mutuz
Hakuna mpumbavu yoyote yule katika dunia hii atayeweza kuiandika historia ya Afrika bila kuwataja mashujaa wa Afrika, Nkrumah, Kaunda, Nyerere, Lumumba, Nasser na wengineo ambao walipigania ukombozi wa Afrika; OAU ilimaliza majukumu yake ya ukombozi wa Afrika AU ni muungano ambao unalenga zaidi kwenye mahusiano ya kiuchumi kwa mantiki hiyo basi OAU na AU pamoja na kuwa vinaunganisha bara la Afrika lakini ki malengo vipo tofauti labda tu badala ya kurukia hoja kwa kunukuu mtu ingekuwa ni vyema zaidi ukafanya uchunguzi wa kina picha zilizotundikwa zinahusiana na malengo ya OAU au AU; nina uhakika kwenye picha AU Moumar Ghadafi atakuwepo kwani yeye ndiye aliyetoa pesa na kudhamini uanzishwaji wa AU. Lakini Ghaddafi huyo huyo hakushiriki kwenye ukombozi wa bara la Afrika. Mashujaa wa Afrika wapo katika nyanja nyingi; ukombozi, michezo, elimu na mengineyo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Inategemea picha hizo zilikuwa ni za watu wa generation ipi; iwapo ni generation ya AU, ambayo ilianza baada ya Nyerere kuacha siasa, basi hatakuwamo. Ila kama ni za generation ya OAU, basi hilo ni kosa ambalo huenda limetokea kwa bahati mbaya, au labda (in the worst case) serikali Tanzania haikutaka picha ya Nyerere iwekwe; kumbuka kuwa AU inakuwa controlled na member states.

Kutokuweka picha ya Nyerere hakubadilishi historia ya OAU kuwa yeye ni kati ya waanzilishi; in fact ukisoma Encyclopaedia Britannica utaona kuwa Nyerere alikuwa ni mmoja wa force kubwa. Ona picha hii hapa; je unaweza kumwona Julius?

View attachment 58894
Heroes of Africa inajalisha wether ni under OAU ama AU?Ama ni heroes wa kitu gani hao ambao picha zao zimewekwa??
 
W.J. Malecela,
Hiyo article yako haiendani na tukio halisi lililofanyika leo habari sahihi ya tukio lenyewe soma hapo

7/15/12 The New Times Rwanda: :: African Union immortalizes Kwame Nkrumahwww.newtimes.co.rw/news/views/article_print.php?14891&a=49732&icon=Print 1/2
African Union immortalizes Kwame Nkrumah
Frank Tanganika
It is befitting for the African Union to honour Dr. Kwame Nkrumah and set the tune for us to
celebrate our heroes. During the recent African Union summit in Addis Ababa, the portrait of the late
Nkrumah was unveiled at the AU head quarters in Addis Ababa in recognition and honour of the
founding father of the Organization of African Unity (OAU), the precursor of African union.
Dr. Nkrumah, fondly known as Osagyefo or redeemer, in the early days of Africa's political
independence, is the undisputed hero of African Liberation, icon of African pride, and thought and
promoter of Pan-Africanism.
Pan Africanism, a movement that was started by Africans in the Diaspora in late 1990s with the
objective of the unification of Africa under one government, common citizenship from Cairo to Cape
Town, was concretized by adapting its vision to the reality of the African continent. The movement
was strongly influenced by the work of African-American thinkers George Padmore, Marcus Garvey
and Du Bois who greatly inspired young nationalists from the mother continent.
The noble and onerous task of implementing the Pan-African objectives was appropriated, nurtured
and brought home by African nationalists notably Nkrumah and Jomo Kenyatta, who were students
in the US and Europe in the first half of the 20th Century.
The Pan African aspirations expressed in the demand for self –determination from the colonizer,
renaissance of African culture and esteem inspired anti-colonial /liberation movements across Africa,
with Nkrumah as the most eloquent proponent.
Nkrumah's contribution to the 5th Pan African Congress held in Manchester in 1945, demonstrated
his organizational ability and charisma.
An extract from the resolution drafted by Nkrumah and adopted by the congress single him out as
the father of Pan-Africanism on the continent, "We believe in the rights of all peoples to govern
themselves. We affirm the rights of all colonial peoples to control their dignity. All colonies must be
free from foreign imperialist control, whether political or economical.
The peoples of all colonies must have the right to elect their own government; a government without7/15/12 The New Times Rwanda: :: African Union immortalizes Kwame Nkrumah
The New Times Rwanda: :: African Union immortalizes Kwame Nkrumah 2/2
restrictions from a foreign power. We say to the peoples of the colonies that they must strive for all
for these goals by all means at their disposal. These are the ideals Nkrumah promoted and died for.
Even when his country gained independence on 6TH March 1957, he declared that independence of
Ghana was meaningless without the total liberation of the African Continent, and used the position of
Ghana as the first African country to gain independence for the liberation of other countries and to agitate for a continental government, and eventually the organization of African Unity was formed in1996.
Nkrumah's ideas influenced many African nationalists and continue to inspire Africans. His
commitment to the unity of the continent are eloquently argued in his books Africa Must Unite,' Neo
–Colonialism, the Last stage Imperialism and Class Struggle in Africa'.
Nkrumah's ideas, however, did not please all the people, especially the imperialists and their agents
who saw in him a threat to their stratagems and survival. Because of his commitment to continental
progress, in his country he was accused of acting as a president for Africa instead of Ghana and
therefore not serving his people first.
Whether those critics are right or wrong depends on whether one agrees with the argument that
meaningful liberation of Africa can only be realized as a result of the unity of Africa. A point
elucidated in his book Africa Must Unite when he says ' WE NEED THE STRENGTH OF OUR
COMBINED NUMBERS AND RESOURCES TO PROTECT OUR SELVES FROM THE
POSITIVE DANGERS RETURNING TO COLONIALISM IN DISGUISED FORMS.
Those words were certainly useful in the era of neocolonial days but they are still valid to our modern
condition and I wish to thank the men and women at AU for the honour to Osagyefo for by doing so
they acknowledge and uphold those ideals which are critical to Africa ‘s sustainable progress.
The political landscape might have changed but the sprit of African Unity must thrive. The regional
integration processes now evident across Africa, together with continental institutions like the Pan
African Parliament, the Economic, Social and Cultural of the African Union, the African Court of
Human rights should be building blocs for the Union government in future.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Baada ya kuisoma habari hii nagundua kuwa mleta mada ulitakiwa kufanya uchunguzi zaidi maana source pekee uliyoitaja ni habari uliyopewa na mtu aliyepo kule, tena kwa kifupi. Pia umetushangaza kwa kuonyesha kukubali ushujaa wa Nyerere wakati siku za nyuma ulileta mada nyingi zilizoonyesha kuwa hukumkubali Mwalimu kama shujaa katika sera zake.
 
W.J. Malecela,
Hiyo article yako haiendani na tukio halisi lililofanyika leo habari sahihi ya tukio lenyewe soma hapo
- Mkuu vipi mbona hii habari haina anything to do na thread au? Sawa ni li-article lirefu sana lakini KAunda, MWalimu na Nkurumah on what happened leo mbona sioni au ni mimi tu?

le mutuz!!
 
Hii thread lazima imeanzishwa na mtu aliyekuwa joly club Huku kazungukwa na vidosho

- Hizo sio club zangu za wasio na access na mabebs wa ukwee as I do, leo nilikuwa Leaders kwenye Bonanza la Twanga!! ila huwa wanasema msema njia huwa aliipitia huko nyuma au? ha! ha1 maana huwezi kujua ya binadam kuandika akiwa na hayo mambo kama hujapitia!!

big shoow


LE Mutuz!!
 
Baada ya kuisoma habari hii nagundua kuwa mleta mada ulitakiwa kufanya uchunguzi zaidi maana source pekee uliyoitaja ni habari uliyopewa na mtu aliyepo kule, tena kwa kifupi. Pia umetushangaza kwa kuonyesha kukubali ushujaa wa Nyerere wakati siku za nyuma ulileta mada nyingi zilizoonyesha kuwa hukumkubali Mwalimu kama shujaa katika sera zake.

- Nimewashangaza wewe na nani kama sio umbea huo mtumzima? Kukosoa ndio kazi ya JF sio kushangilia tu kama bendera huwa sio zangu hizo kwenye makosa huwa sina mchezo na kwenye ukweli sina mchezo!! Anaykurupuka hapa ni wewe coz huna anything on this topic!!

LE Mutuz!
 
My criticism to your post was just information of the fact that you needed to make the news you posted credible. Your reaction to it is simply juvenile and too childish ... as often you have just proven how immature you are.

=W. J. Malecela;4246150]- Nimewashangaza wewe na nani kama sio umbea huo mtumzima? Kukosoa ndio kazi ya JF sio kushangilia tu kama bendera huwa sio zangu hizo kwenye makosa huwa sina mchezo na kwenye ukweli sina mchezo!! Anaykurupuka hapa ni wewe coz huna anything on this topic!!

LE Mutuz![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom