randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
Kwahyo akifa mnyama tu ndo makamanda wa mwenyewe mnyama ....mnavaa sare na kumzika?Mambumbu mnapongezana....!!!Mfano wenyew ni incomparable!!!...Agness alikua binadamu sio mbwa.Silly...!!
Kwahyo akifa mnyama tu ndo makamanda wa mwenyewe mnyama ....mnavaa sare na kumzika?Mambumbu mnapongezana....!!!Mfano wenyew ni incomparable!!!...Agness alikua binadamu sio mbwa.Silly...!!
kuwa katibu haimaamish pia mtoto ni ccm kama mshua....kiki za bashite na mtu mfupi ngomaboy.Taarifa Kwa Warembo wote wa BAVICHA mtambue Baba yake marehemu Agness ni Katibu Jumuiya ya Wazazi (CCM) Utengule
Like father like daughter. Need more!Kwa hiyo kafa baba yake hapo? acha ujinga wewe!
Umeyakoroga.uyanywe.jibu swali!Ona aibu we kijana basi! ujinga wako utasababisha ugeuzwe kuwa wa chama chote
Ni lini ccm Ilisema Agnes anauza unga?Au ni mwendelezo wa CCM kupenda kiki msibani?
Jana mlisema muuza unga, Leo kwa vile wasanii wengi kawa shujaa?
Kwahiyo mwanae amekua kaimu au?Taarifa Kwa Warembo wote wa BAVICHA mtambue Baba yake marehemu Agness ni Katibu Jumuiya ya Wazazi (CCM) Utengule
Hahaha Yule mbwa alikuwa KamandaWe Kima Mbona Unang'ang'ania upuuzi Mbwa Wa Nassari Alizikwa na CHADEMA wakiwa Wamevaa Sare je alikufa Nassari?
Ccm wanalazimisha vitu vya ajabu sanaJamani mbona hawa watu wa CCM mbona hawako wazi?
Mwenye kujua cheo alichokuwa nacho Marehemu Agnes Masogange atuweke wazi ili tujue kwani hatukufahamu kuwa hata alikuwa mwanachama wa chama gani.
Nimeuliza hivyo kwa vile mazishi yake yamefanywa kwa heshima zote za chama hicho.
View attachment 754462View attachment 754463
Wanamuwakilisha DAB siunajua ni shemeji?Au ni mwendelezo wa CCM kupenda kiki msibani?
Jana mlisema muuza unga, Leo kwa vile wasanii wengi kawa shujaa?
Siwapenda hawa watuWazee wa fursa hapo km ni chadema tayari police wameshafika
Hakuleta kifo wa maafaHapo macho yote kwenye rambi rambi maana ni wazoefu kula hela ya rambi rambi na ya maafa.
Alaaa kumbe wauza ng'ada wote wapo ccm!!!Alikua kada uvccm kitambo,bongo movie na bongo fleva wote wako ccm,hata wale wa kimboka,corner bar,manzese kwa mfuga mbwa wako ccm