Maafisa wa FBI wavamia nyumbani kwa Donald trump

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Nov 1, 2021
792
2,008
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini Trump haaminiki?
 
Huyu jamaa walishindwa jinsi ya kumzimisha maana inngekua aibu ,ila kwa sasa jela inamngoja
 
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini Trump haaminiki?
Wapi Ruddy Giullian?
 
Huyu Trump rafiki yangu sana atawasumbua sana utawala wa Biden haya yote sababu aliibiwa kura ukweli ndio huo.
 
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini Trump haaminiki?
Leta sosi
 
Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini Trump haaminiki?
Wampime na mkojo wake pia, Trump ni kiongozi hatari sana
 
Back
Top Bottom