james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
Ili kuepuka habali zisizo za uhakika inawabdi TBC wawepo kila tukio.waliyo yafanya juz wanatakiwa kuomba radhi Mara 360,na walipe fidia ya Tsh.1(moja).watu tulirukaruka kwa Pongezi kemkem za rais wadunia kumbe hakuna ktu.