Chicken pox haiwezi kukusumuwa. Huo ni ugonjwa wa mlipuko. Huwezi kuuguwa peke yako. Labda una harpes zoster. Mara nyingine una kuja kama tete kuwanga. Ukiwaacha muda mrefu bila ya matibabu au kupona wenyewe yaweza kuwa dalili za kinga ya mwili kuwa dhaifu.
Kwanza kapime status. Huko huko watakupatia tiba ya tete kuwanga.