Acha kujipa kazi kwenye maisha ya watu, sijui na sijawahi kutamani kujua hata walipoHakuna asie fatilia ma x..hakuna
Ila ikitokea mmekutana lazima mkumbushieAcha kujipa kazi kwenye maisha ya watu, sijui na sijawahi kutamani kujua hata walipo
Mkuu una tatizo wewe....fanya kwa vificho ishu ka hizo maana mkeo halali yupo miongoni mwao,muda mwingine sifa za kijinga huponza mwiliSjaumia..niumie wanawake zaid ya 6 ambao nishaishi nao pika pakua...sema sijapenda tu..nilitaka waone jinsi gan mwanaume hana hasara na jinsi nilivyo upgrade..
Yaan imewachoma had wameniblock.hahahahahahahhahahahahahahahaha..maisha haya
Kwa kweli,Mbona kama na wewe umeumia walivyokulima block? Unawafuatilia sana ndio maana umegundua wamekublock
Huwezi kubeba mtoto mkali shombe shombe halafu ukaendelea kuwafatilia wakina mwajuma na chausiku huko Facebook.
Sijawahi na siweziIla ikitokea mmekutana lazima mkumbushie
Hahaha kumblock mtu ni udhaifu sana...
Kabisa!Hahaha kumblock mtu ni udhaifu sana...
Unasema tuu labda kuwe na mazingira yasiyoshawishiSijawahi na siwezi
Mazingira unayaruhusu wewe, yaepuke.Unasema tuu labda kuwe na mazingira yasiyoshawishi
FactUtoto raha sana,akili inakuwa inawaza kula,kukojoa,kunya na kulala basi!
Wanaume tunazidi kupunguaSjaumia..niumie wanawake zaid ya 6 ambao nishaishi nao pika pakua...sema sijapenda tu..nilitaka waone jinsi gan mwanaume hana hasara na jinsi nilivyo upgrade..
Yaan imewachoma had wameniblock.hahahahahahahhahahahahahahahaha..maisha haya
Nayaepukaje ndio imetokea jamnMazingira unayaruhusu wewe, yaepuke.
Sasa mmepunguaje hapoo jamaniWanaume tunazidi kupungua
Imetokea tu mpo chumbani wawili?Nayaepukaje ndio imetokea jamn