Hapo jana Nikiwa natokea maeneo ya Rongai huko Rombo Kilimanjaro nilikutana na gari la matangazo likitangaza juu ya mkutano wa chadema utakaofanyikia maeneo ya Tarakea na kwa taarifa nilizosikia ni kwamba makamanda Mbowe na Slaa watakuwa jukwaani kuhutubia.kufika maeneo ya mkuu nilikuwepo na makada wengi wa ccm kwenye grocery moja na wanaelezea hofu waliyo nayo juu ya mabadiliko yatakayofanywa na chdm huko rombo kwamba wananchi wengi watahamia chadema!Mlioko huko mtujuze kinachojiri p/se!