kwa heshima na taadhima naomba nitoe ujumbe wangu kwa uongozi wa cdm mimi kama mwana m4c ambae nilizindua m4c pale naura springs hotel. Ktk mkoa mzima wa klm m4c bado haijafika kabisa hivyo basi naomba kutoa wito kwa cdm kuangalia upya ratiba ya m4c hasahasa moshi vijiji kwa kwa mh. Cyril chami. naomba kuwasilisha.