suluhishojipya
Member
- Dec 10, 2017
- 57
- 143
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime Mjini, Hamisi Nyanswi (CHADEMA), usiku wa kuamkia jana majira ya saa 10 usiku alifumaniwa na kupata kipigo kikali, hali yake sio nzuri na amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Tarime.
Taarifa zaidi zinasema kuwa, Hamisi alikuwa amelewa na alimchukua demu wa mtu, aitwaye, Bhoke Nyakorema, baada ya kula naye bata walianza safari ya kuelekea MK Hotel kwa ajili ya kumalizia usiku. Walipofika kwenye kona ya Maneno garage, kuna kijana alimsimamisha, kwa kujiamini huku akiwa na bastola kiunoni alisimamisha gari na kutoka nje, ndipo alipokutana na kijana huyo na akamuuliza kulikoni kila siku kulewa na kujiachia na demu wake, Hamisi akajaribu kuifikia bastola kiunoni lakini kwa kumuwahi na kwa kuwa Hamisi alikuwa amelewa basi yule kijana aliweza mpa kipigo kikali na kumuangusha mtaroni kisha akatokomea na demu wake.
CHADEMA Tarime wamejaribu kuhusisha kisa hicho na watu wasiojulikana ila wameona aibu kwani tabia yake ya ulevi na kutembea na wake/mademu za watu inajulikana pale Tarime mjini, hivyo wamekausha na wanamtibu kimyakimya.
Tunatoa pole kwa Mh. Hamisi Nyanswi na kumshauri apunguze ulevi na uchepukaji, ajitambue kuwa yeye sasa ni kiongozi mkubwa hivyo ajiheshimu na kuchukua tahadhari ili asiaibishe chama, halmashauri na familia yake. (pichani chini ni Mh. Hamisi Nyanswi)
Taarifa zaidi zinasema kuwa, Hamisi alikuwa amelewa na alimchukua demu wa mtu, aitwaye, Bhoke Nyakorema, baada ya kula naye bata walianza safari ya kuelekea MK Hotel kwa ajili ya kumalizia usiku. Walipofika kwenye kona ya Maneno garage, kuna kijana alimsimamisha, kwa kujiamini huku akiwa na bastola kiunoni alisimamisha gari na kutoka nje, ndipo alipokutana na kijana huyo na akamuuliza kulikoni kila siku kulewa na kujiachia na demu wake, Hamisi akajaribu kuifikia bastola kiunoni lakini kwa kumuwahi na kwa kuwa Hamisi alikuwa amelewa basi yule kijana aliweza mpa kipigo kikali na kumuangusha mtaroni kisha akatokomea na demu wake.
CHADEMA Tarime wamejaribu kuhusisha kisa hicho na watu wasiojulikana ila wameona aibu kwani tabia yake ya ulevi na kutembea na wake/mademu za watu inajulikana pale Tarime mjini, hivyo wamekausha na wanamtibu kimyakimya.
Tunatoa pole kwa Mh. Hamisi Nyanswi na kumshauri apunguze ulevi na uchepukaji, ajitambue kuwa yeye sasa ni kiongozi mkubwa hivyo ajiheshimu na kuchukua tahadhari ili asiaibishe chama, halmashauri na familia yake. (pichani chini ni Mh. Hamisi Nyanswi)