Wamrudie Mungu, ili kujiepusha na hii laana!
Inasikitisha saaaana
Nape ameshika tama huko alipo.
Huyu si ndio alimtukana Lowassa kuwa ni maiti?
hapana umekosea, atakua anapiga push up kuendelea na dhihaka as if yeye ana uwezo wa kumpa tshet, chumvi, kofia na kanga mtoa roho akimfikia
Lini ?Tukumbushane Mkuu