Ninamshauri Bw. Lusinde kwenda shule hata kidogo tuu kwa kuwa hekima ya kawaida Mungu hakumjalia! Siasa siyo kupayuka tuu jambo lolote provided umepewa kipaza sauti, hebu katafute hekima ya kitabuni itakusaidia kusoma mazingira.
Sijawahi kusikia lusinde akiongea kitu cha maana tangu nimfaham km mbunge.anasema arumeru wamchague sioi eti kwa kufanya hivyo watakuwa wamemfuta machozi kwa kufiwa na babae!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.