Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,422
CCM wanakaita chawa wa Muheza!CCM ni wabaguzi sana!Nimekakubali sana haka katoto!
CCM wanakaita chawa wa Muheza!CCM ni wabaguzi sana!Nimekakubali sana haka katoto!
Mgombea wa ccm ndiyo yule aliyezomewa kipindi fulani na wananchi ?Mgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Wacha wakaite vyovyote lakini hakawaachii nafasi wakapumua!CCM wanakaita chawa wa Muheza!CCM ni wabaguzi sana!
Watu wa Muheza ni wakati sahihi kufanya maamuzi sahihi kumchagua Y Komba. Muheza Ina matatizo makubwa ya maji kwa kipindi kirefu na wabunge wote kutoka CCM wameshindwa kulipatia ufumbuzi.View attachment 1601953
Hako hapo juu, kanamjambisha MwanaFA sasa hivi huku kwetu Muheza tunamwita MwanaKULITAFUTA, MwanaKULIPATA!!
Nimejikuta nacheka peke yanguMuheza mwana Fa kashikwa nyeti na mtoto wa kike,kambi ya adadi wamenuna chama kimegawanyika
Halafu kuna mjinga anapiga mitaani anatuambia tukichagua wapinzani hatutapata miradi ya maji? Mbona Muheza pamoja na kuyachagua maccm hawajamaliza shida ya maji? Tusitishane mwamba!Watu wa Muheza ni wakati sahihi kufanya maamuzi sahihi kumchagua Y Komba. Muheza Ina matatizo makubwa ya maji kwa kipindi kirefu na wabunge wote kutoka CCM wameshindwa kulipatia ufumbuzi.
Zilipendwa hizo!!Chaga-dema hampati kitu
Mtu mzima ovyo!!! Koma kumchuria binti wa mwenzio!!!Katoto hakana adabu kabisa haka
Na hapo Rais Lisu hajaja kupigilia msumari wa mwishoMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Siyo alizomewa tu walimfukuza na kumuita mbwa, hatakiwi kabisa, demu wake naye huku Ilala alitaka kupimana ubavu na Zungu kaangukia pua.Mgombea wa ccm ndiyo yule aliyezomewa kipindi fulani na wananchi ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nimemchulia nani tena sheikh wanguMtu mzima ovyo!!! Koma kumchuria binti wa mwenzio!!!
Inaonekana BAWACHA imefanya kazi kubwa sana. Sijaona mgombea wa CHADEMA mwanamke aliye lelemama!View attachment 1601953
Hako hapo juu, kanamjambisha MwanaFA sasa hivi huku kwetu Muheza tunamwita MwanaKULITAFUTA, MwanaKULIPATA!!
Yes. Mbegu aliyo/anayoipanda Lissu tunaenda kuwa na kina Lissu wengi sn na ndipo nchi itanyooka na tutahedhimiana.Lissu kafungua watu akili.
CCM inang'olewa pande zote nchi hiiMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Kelele za chura hazimzidi tembo kunywa majiMgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU
Umeona isiwe taabu. Ukaona ujipromote mwenyewe.Mgombea ubunge jimbo la Lushoto kwa CHADEMA ana ushawishi mkubwa. Kwanza naomba ku-declare interest kwamba mimi ni mwanachama wa CCM.
Kwa miaka nenda rudi jimbo letu la Lushoto limekuwa ngome kuu ya CCM lakini kwa mwaka huu hali si kama tulivyo zoea kwani huyu mgombea wa CHADEMA anayeitwa Germao Mbelwa anaonekana amejipanga haswa na kadri siku zinavyo yoyoma ndivyo anavyo panda chati, naomba chama changu kidiriki kuvunja makundi yaliyopo kwani chama kipo rehani.
Msema kweli mpenzi wa MUNGU