Kaka kitu cha Haramu huwa watu wanachoka kutizama au Kuonja? au kugusa ? kama wanavyosema kinachokatazwa wanasema kitamu shetani anafanya viwe vitamu kwenye mtihani tu huo.
Lundenga anatakiwa aondoke na aje mtu mwingine mwenye mawazo mapya. Huenda yeye ndio kikwazo cha warembo wetu kutofanya vema huko ktk miss world. Amekaa hapo miaka nenda miaka rudi na hamna lolote. It's time for a fresh blood, fresh ideas, fresh vision. La sivyo kama huyu mtu ataendelea kungangania hapo basi warembo mtakuwa hamna jipya
hii ndo Africa bana kiongozi anang'ang'ania madaraka mpaka atolewe kwa nguvu hata kama yeye ndiye founder of miss Tanzania mpaka sasa hivi what special alichofanya i think its time akae pembeni watu wengine wafanye kazi hiyo ili waweze kuinua vipaji vya warembo otherwise warembo watabakia kuwa chakula ya mapedeshee tu na hatimaye scandal kila siku.
Sahizi amewawekea camera nyumba nzima, awaangalia kabla haja request, vodacom na wenyewe !!!!! Sijui ndo big miss tanzania,maana wameiga big brother, wenzenu wanafanya human behaviour research, nyinyi mnafanya nini, mbona hamtoi taarifa, au kuuza vitabu vya u-miss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.