Kama unajua ni malaya ingebaki
kuwa siri yako na ukachukua muda kumuombea kwa BWANA amuondolee hali
hiyo. Hata hivyo, neno linasema usihukumu usije ukahukumiwa. BWANA
akusamehe kwani hujui ulitendalo.
Hivi hukumu yake ni lini huyu malaya?
hivi unapomtusi mtu ambaye hata umwona hujawah unajiskiaje??
hivi tuseme huko kwenu dada zako wote ni clean sana hadi ufikie hapa pa kumtusi huyu binti??
afterall mwenzenu kwa ku tweet tu kesha jiingizia siku nyiemnabakia kumbwela mbwela tu hapa.
hakuna sheria inayomkataza kusemea anavyojisia na hisia zake ziheshimiwe. wewe tukifungua page yako ya tweeter ama b ama emails zako tutakuta umeandia tungo za mapenzi kwa watu wangapi?? je tufungue na simu yako tuone sms za mapenzi ulizoandika kwa uwapendao??
heshimu uhuu wa mwenzio.
Amesema ya moyoni mwake.LULU MICHAEL ALIKUMBUKA PENZI LA STEVEN KANUMBA.....Wakati zikiwa zimebaki wiki chache tu hadi kifo cha Stephen Kanumba kitimize mwaka mmoja, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael aka Lulu kwa mara ya kwanza leo ameandika ujumbe kuhusiana na jinsi anavyomkumbuka.Lulu aliachiwa kwa dhamana mwezi January mwaka huu baada ya kukaa mahabusu kwa takriban miezi minane kufuatia kukamatwa kwa kuhusika na kifo cha Kanumba.Lulu ambaye hivi karibuni amekuwa akitweet mara kwa mara ameandika:¡°Ulikuwa zaidi ya baba,kaka,mpenzi,mume,ndugu,rafiki¡-.sitoacha kukulilia katika maisha yangu yote!!R.I.P daddy angu STEVEN KANUMBA.¡±Akiambatanisha na picha ya Kanumba, Lulu ameongeza, ¡°I will alwayz love u daddy angu!¡±Unaweza kumfollow Elizabeth Michael 6¥1Twitter kwa jina la hotlulumichael.
Jamani huyu mtoto angetulia akaachana na haya mambo kwanza
kesi ziishe ,aanze shule na kubadilisha system nzima ya maisha yake
Jamani huyu mtoto angetulia akaachana na haya mambo kwanza
kesi ziishe ,aanze shule na kubadilisha system nzima ya maisha yake
Mkuu kwani umelazimishwa kuchangia?yeye kukumbuka penzi la kanumba halituhusu vilevile halitusaidii
Mbona kanumba alikuwa saizi yake kabisa?Amesahau neno sugar kabla ya daddy!
Mkuu nazani hilo pengo halitazibika kamwe!amekumbuka utamu aliofundishwa na kuupata kwa kanumba, itabidi atafute mziba pengo kwani ukishazoea kuacha ni ngumu
Sikio la kufa halisikii dawa!wahenga walishamaliza kila kitu!kama mama namsikitikia sana huyu binti.......
Kinachonisikitisha zaidi ni kutopata mtu wa kumwelekeza anachotakiwa kufanya kwa sasa.
Ni kweli watu wanateleza na kuanguka, tunategemea baada ya kuamka unakuwa umejifunza kitu wakati upo chini na kubadilisha mwelekeo ili usianguke tena.
Kama hizi tweets kiukweli kabisa zimeandikwa na Lulu, basi huyu mtoto sasa anahitaji kurekebishwa kiaina nyingine. Kuendelea kumwonyesha kuwa bado mdogo hakutasaidia
Watu jamani mtabadilika lini kama ujinga aliufanya huko nyuma bado tu unamuhukumu mtu kwa historia,acheni hizo bwana hata shetani akizeeka anakuwa malaika
Umaarufu wa kijinga anaotafuta!Shule ilishagoma siku nyingi, kumshauri atulie mtagombana. Hii ndo njia nyingine ya kumrudisha kwenye stage, wapo vijana wenye akili mbovu wanoamini kua vituko ndo vinawaongezea umaarufu.
Teh teh teh!akina komb.........!Chakula cha mapedeshee