Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,021
- 94,074
Kuna mambo mengi hupelekea madaktari waamue mwanamke azae kwa kisu...Kaogopa kuzaa kwa njia ya kawaida?
Kwa kifupi tu maamuzi hayo huweza kuwa ni ya muda mrefu au mfupi kulingana na afya ya mama na mtoto aliye tumboni...
Kuna wakati mwenendo wa ujauzito hubadilika zile dakika za mwisho na maamuzi huwa ni kumtoa mtoto kwa kisu kuepuka madhara kwa mama na mtoto...