Amenzi Buzinza
Member
- May 3, 2016
- 20
- 7
Kama ndiyo hivyo basi hata Waziri wa Kilimo,Uvuvi na Mifugo naye atoe bei elekezi na Mawaziri wengine wafuate mbona mishahara tuliyo nayo itakuwa ni mikubwa Sana hata tutaomba ipunguzwe kwani savings itakuwa kubwa mno mabenk yatajaa pesa!!!
Jamani hivi Waziri anayeangalia riba zinazotolewa na mabanki sio Waziri wa Fedha? Tutaomba riba ziangaliwe upya!
Jamani hivi Waziri anayeangalia riba zinazotolewa na mabanki sio Waziri wa Fedha? Tutaomba riba ziangaliwe upya!