Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
Hivi kwa nini mtu mmoja agawiwe nyadhifa hizi mbili wakati kuna raia wema kibao wanaranda huku na huko kuyatafuta maisha bora kwa kila Mtanga na nyika (Mtanzania). Wana nini cha kipekee ambacho wengine hawana?. Haya mambo yangeishia kwenye CCeM lakini siyo kuletwa hadi serikalini.