GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Tatizo la lugha ya kiingereza ni kubwa sana kwa watanzania, cha kushangaza na kuaibisha Halima Mdee ni mwanasheria lakini akiambiwa asome kilichoandikwa kwenye mkataba anasema ahaa hamna palipoandikwa lakini mimi ila mimi naona mbele kuwa mkataba utaleta tatizo
Badala ya kuonyesha kifungu gani kina makosa yeye amejaa speculation na hisia tu
Aibu iliyomkuta Halima Mdee bungeni sio ya nchi hii,Aligeuzwa na spika kama mwanasesere kila akiambiwa soma kilichoandikwa acha hisia anaishia kusema mimi naona mbali, mbali wapi?
Lugha ya kiingereza, Lugha ya kiingereza. Ninakuita tena na tena English ....english umekuwa tatizo mpaka kwa waliosoma sheria.
Mkataba umepita na umeoneshwa live kila mtu ameona mbivu na mbichi za watu walioshindwa na wapotoshaji kama Mdee kushindwa kuonyeshwa wapi bandari inauzwa? Au wapi hatuwezi kuvunja mkataba?
Lugha ya kiingereza ndio maana kuna wakati marehemu JPM aliomba hukumu zitolewe kwa kiswahili
Badala ya kuonyesha kifungu gani kina makosa yeye amejaa speculation na hisia tu
Aibu iliyomkuta Halima Mdee bungeni sio ya nchi hii,Aligeuzwa na spika kama mwanasesere kila akiambiwa soma kilichoandikwa acha hisia anaishia kusema mimi naona mbali, mbali wapi?
Lugha ya kiingereza, Lugha ya kiingereza. Ninakuita tena na tena English ....english umekuwa tatizo mpaka kwa waliosoma sheria.
Mkataba umepita na umeoneshwa live kila mtu ameona mbivu na mbichi za watu walioshindwa na wapotoshaji kama Mdee kushindwa kuonyeshwa wapi bandari inauzwa? Au wapi hatuwezi kuvunja mkataba?
Lugha ya kiingereza ndio maana kuna wakati marehemu JPM aliomba hukumu zitolewe kwa kiswahili