Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote.
Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:-
Kurahisisha mawasiliano.
Kujenga umoja wa kimataifa.
Kufanikisha ueneaji wa tekinolojia ulimwenguni.
Kupunguza dhana ya ukabila na ubaguzi wa kimataifa.
Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:-
Kurahisisha mawasiliano.
Kujenga umoja wa kimataifa.
Kufanikisha ueneaji wa tekinolojia ulimwenguni.
Kupunguza dhana ya ukabila na ubaguzi wa kimataifa.