RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Issue hapa siyo Lowassa vs CCM, ni Lowassa vs Kikwete.
1. Lowassa ametuambia kwamba hiyo Richmond inayotaka kutumiwa ili kumhukumu siyo yeye bali ni JK. Kwa hiyo kumhukumu yeye ni kumwonea.
2. Ikumbukwe kwamba JK na EL wameshatuambia kwamba ni marafiki. Huo urafiki ndio ulipelekea waachiane ugombea 2005. Lakini kwa makubaliano gani? Simply say: "Nenda wewe (JK) sasa hivi (2005), ukimaliza nakuja mimi (EL) 2015.
3. Tatizo linakuja kwamba JK ametaka kutumia skendo yake, ambayo iliyomfunya EL kujiuzulu U-PM ili kumlinda rafiki yake asiumbuke, JK ametaka kuitumia hiyo hiyo ili kumtwanga nayo rafiki yake na kumpiga pembeni. ndo maana kumekuwa na tetesi kwamba mkulu ameanza kupigia ndogo ndogo watu wengine kuelekea 2015.
4. Lowassa is using all the means he has to fight back.
Tutaendelea kuona mengi huko mbele tuendako.
Mkuu ninakubaliana na ww asilimia 100 kwani issue hapa ni JK Vs EL when set their presidency goals of 2005 and 2015, respectively, of which JK achieved his goal but poor EL is languishing to achieve his goal as well but JK and EL nyerere told them lowassa you are dirty and corrupt but JK u a still young and not confident to lead Mchonga was very right and thats why u went to the state house using dirty money from dirty people na ndio maana unashindwa kutoa maamuzi ya kiongozi yeyote aliye mchafu.
But people are not with JK n EL you are putting the CCM to be in blacklist or among the failure party in the World and making CDM to emerge stronger day after day. Watch out presidential race 2015 CDM has a majority backup.