Nimedokezwa kwamba mjadala j2 ijayo kuhusu mustkabali wa CCM na sera ya kuivua gamba utakaorushwa na Star TV utahudhuriwa na viongozi na magwiji wa siasa nchini akiwemo EL.jee EL ataweza kueleza umma au ndio ufisadi utammaliza tutapopata kupiga simu?jee watz tutegemee nini?