BOB OS
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 3,427
- 6,786
mkuu pole sana,kwa kweli inasikitisha mambo yanavyoendeleaMkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.Mimi naomba tamko la uelekeo jamani
,ila fikiri kwanza kuhusu watoto wako je unaweza kwenda na bado ccm ikabaki and all your efforts and achievements will mean nothing....
please before you take action think twice especially watoto wako...