Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kwa ndugu zangu wanaosoma biblia, nilikuwa ninasoma kitabu cha Mathayo 11. Nikafikiria sana uwiano wa habari za Yesu na Yohana Mbatizaji na Lowassa baada ya kufika kwenye hizi aya:
N.B: Truly speaking, sioni kama Lowassa ana afya nzuri kwa sasa, anasahau hata maneno anayotaka kuongea (sijui ndio parkinson disease? au Alzeihmer - early onset, lakini bado hili haliondoi mantiki ya kwamba Rais ni taasisi, inayochaguliwa na wananchi. Ikiwa watu wanaabudu mawe na miti, nani utakayekataa Lowassa akichaguliwa kuingia ikulu?
2 Yohane mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake, 3 wamwulize: "Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?" 4 Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona: 5 vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. 6 Heri mtu yule asiyekuwa na mashaka nami."
N.B: Truly speaking, sioni kama Lowassa ana afya nzuri kwa sasa, anasahau hata maneno anayotaka kuongea (sijui ndio parkinson disease? au Alzeihmer - early onset, lakini bado hili haliondoi mantiki ya kwamba Rais ni taasisi, inayochaguliwa na wananchi. Ikiwa watu wanaabudu mawe na miti, nani utakayekataa Lowassa akichaguliwa kuingia ikulu?