- Thread starter
- #301
Safi sana Kiongozi.Mwizi, Fisadi na Muhujumu Uchumi awe Rais wetu ni Mkosi.
Labda kama ni Mapinduzi lakini kwa Kura Lowasa hawezi kuongoza nchi hii, asubiri kujiunga na kina Mramba huko waliko watampa uzoefu waliopata
Safi sana Kiongozi.Mwizi, Fisadi na Muhujumu Uchumi awe Rais wetu ni Mkosi.
Labda kama ni Mapinduzi lakini kwa Kura Lowasa hawezi kuongoza nchi hii, asubiri kujiunga na kina Mramba huko waliko watampa uzoefu waliopata
Lete hoja, ndani ya box au nje ya box aihusu.You are not my level young man. If you want to discuss something constructive with me, you better come out of the ukawanite box.
Teyari umesha kiri kuwa Lowassa alivaa pete ya Freemason na wajuzi wanafahamu kuwa Freemason ni waabudu Mashetani. Mungu gani huyo anafanya kazi na Shetani? Mtamfahamu Mungu ifikapo tarehe 25 October kuwa yeye hana mapenzi na wala urafiki na Mafisadi.
Ni kwa weew na familia yako.
Maelezo ya nini wakati picha inazungumza zaidi ya ngonjera zenu.Maelezo bado hayaridhishi..!!
Nope. not in Tanzania na ndio maana hatumtaki Freemason Lowassa.Mbona hata sasa freemason anatawala duniani kote ikiwepo na tanzania?
Unaweweseka sasa na kukimbia majibu yako mwenyewe, huo ndio ugeugeu. Wewe endelea na kumfuata Freemason anaye taka kununua Urais kwa nguvu. Lowassa sasa kwisha habari yake.Acha mambo ya kulazimisha, nimekiri wapi wakati nyie mko kama wachawi mnaumbuana wenyewe kwa wenyewe. Freemason unaijua wewe na alama unazijua, nimekueleza tu kuwa kama ni hivyo unaumia kwa kuwa pengine huyu kawachueni mnaona gere, kwendeni mumuulizu bosi wenu wa hiyo masonic kwa nini amemwinua huyu wakati huu. Sisi tuna vigezo vya kumkubali sasa na wala sababu zetu hazihusiani na hiyo freemason yenu, kama yupo huko atajijua yeye na Mungu wake
Kumbe kuvaa Pete ya Freemason ni matusi. Sera mtaipata wapi UKAWA wakati jamaa yenu yeye ni dakika mbili tu KWISHA HABARI YAKE??!!!!Sera zimeisha sasa naona mmejifunza matusi eti Pete ya FRS hiyo Pete tu taarifa ikufike gamba
Kingunge keshaondoka kwenye chama chenu..
Unaweweseka sasa na kukimbia majibu yako mwenyewe, huo ndio ugeugeu. Wewe endelea na kumfuata Freemason anaye taka kununua Urais kwa nguvu. Lowassa sasa kwisha habari yake.
Acha kusingizia watu bila ya ushahidI. Hapa tunamzungumzia Lowassa aliye vaa Pete ya Freemasons.
[h=3][/h]Mwaka huu ndio mwaka wa kuona mengi. Sasa Lowassa anavaa Pete ya Freemason kama ishara kuwa yeye ni mmoja wao. Hiki kikundi cha Masonic ni cha waabudu Shetani na wanatumia nguvu za giza kupata uongozi.
Hapa chini tunamwona Sir Chande akiwa na Sumaye ambaye na yeye inasemekana kuwa ni mmoja wao.
Tanzania, kwanini tumchague kiongozi ambaye ni Freemason na aifanye nchi kuwa chini ya imani za Mashetani?
Mchague Mheshimiwa John Magufuli ambaye hana ushirika na hiki kikundi cha kuabudu mashetani "Freemason" na anamtegemea Mungu na ataiweka nchi katika misingi ya isiyo na ushirika na hizi imani za kimashetani.