JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,187
Kila Lowassa anapofanya mkutano, wanaohudhulia 45% wataludi na kumpa magufuli. Technically Lowassa kesha ipoteza Kanda ya ziwa ambako Kuna zaidi ya milioni 5 ya wapiga kura
Nimeipenda tathmini yako..! Ni kweli, ukihudhuria mkutano wa lowasa bila bias, utaondoka umekuwa biased kwa Magufuli.
UKAWA wao halijui hilo, wanaimba mafuriko wakati kiangazi kinaanza.