Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Jimbo la Monduli litagawanywa ili wote wawili Sokoine na Lowassa waweze kugombea.
Lina idadi ya watu wangapi kwa wale wanaofahamu? Je, vigezo vya kuligawanya vimetumika kisahihi au ndio nguvu ya EL?
Jimbo la Monduli litagawanywa ili wote wawili Sokoine na Lowassa waweze kugombea.
really?Jimbo la Monduli litagawanywa ili wote wawili Sokoine na Lowassa waweze kugombea.