KITENGE KOFIA
Member
- Oct 14, 2012
- 35
- 24
Wakazi wa bangata wamelala masikini wameamka tajiri...mamvi amemwaga mafuso ya mbuzi wa maziwa kwa wakazi wa bangata usa river kwa malipo ya kupigia mgombea wa udiwani ccm,ivi mamvi ukikosa uraisi utaenda wapi.....vp naigeria huendi,prophet tb joshua alijua ulikuwa unataka kumtumia..akakupiga chini