Lowasa akienda Makanisani CCM hawalalamiki lakini CDM wakiungwa na Makanisa , Kuna Udini???

KING COBRA

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
2,782
864
Ni jambo la Unafiki sana pale ambapo Udini unapo wanufaisha CCM halalamiki!!
Ukweli ni kwamba Lowassa ameacha kabisa kazi ya Maendeleo kwa Taifa na sasa anatafuta urais Makanisani Jambo ambalo linapaswa kukemewa na Serikali ya Kikwete!!!
Mwaka 2010 Maaskofu wengi waliunga mkono Chadema kwa sababu ya Sera lakini Rais Kikwete akasema kuna udini , sasa Hivi Lowassa ambaye ni CCM anachanja Mbuga makanisani na kufanya kampeni za Urais 2015 Hakuna mtu ndani ya CCM anayekemea UDINI huo!!!


Kumbe Udini unaponufaisha CCm hakuna tatizo!!

Nawashauri na CHADEMA muanze kualikwa Makanisani na matamko ya Maaskofu yaanze tena tuona nani zaid!!!

CUF nao nendeni Misikitini siku za ijumaa!!!
 
Ukweli ni kwamba Lowassa ameacha kabisa kazi ya Maendeleo kwa Taifa na sasa anatafuta urais Makanisani Jambo ambalo linapaswa kukemewa na Serikali ya Kikwete!!!
...Afanye kazi za maendeleo ya Taifa kwa cheo au mamlaka ipi? Halafu JK, Pinda & Co. watafanya nini.

...Harambee anazoshiriki katika hayo makanisa si kazi za maendeleo?

...Udini ni agenda muflisi za watu fulani. Mtu yeyote mwenye akili hawezi kupoteza muda wake kwenye upuuzi huo.
 
Ni jambo la Unafiki sana pale ambapo Udini unapo wanufaisha CCM halalamiki!!
Ukweli ni kwamba Lowassa ameacha kabisa kazi ya Maendeleo kwa Taifa na sasa anatafuta urais Makanisani Jambo ambalo linapaswa kukemewa na Serikali ya Kikwete!!!
Mwaka 2010 Maaskofu wengi waliunga mkono Chadema kwa sababu ya Sera lakini Rais Kikwete akasema kuna udini , sasa Hivi Lowassa ambaye ni CCM anachanja Mbuga makanisani na kufanya kampeni za Urais 2015 Hakuna mtu ndani ya CCM anayekemea UDINI huo!!!


Kumbe Udini unaponufaisha CCm hakuna tatizo!!

Nawashauri na CHADEMA muanze kualikwa Makanisani na matamko ya Maaskofu yaanze tena tuona nani zaid!!!

CUF nao nendeni Misikitini siku za ijumaa!!!

Kha kha hii ni hatari sana yafaa wakristu wenyewe mlikomalie hili msije mkatumika kwa manufaa yao binafsi na mnaona wanakotupeleka
 
...Afanye kazi za maendeleo ya Taifa kwa cheo au mamlaka ipi? Halafu JK, Pinda & Co. watafanya nini.

...Harambee anazoshiriki katika hayo makanisa si kazi za maendeleo?

...Udini ni agenda muflisi za watu fulani. Mtu yeyote mwenye akili hawezi kupoteza muda wake kwenye upuuzi huo.

Umeanza vizuri ulivyo malizia cjakuelewa kabisa kama unamsapoti kwa kampeni zake za makanisani au la
 
...Afanye kazi za maendeleo ya Taifa kwa cheo au mamlaka ipi? Halafu JK, Pinda & Co. watafanya nini.

...Harambee anazoshiriki katika hayo makanisa si kazi za maendeleo?

...Udini ni agenda muflisi za watu fulani. Mtu yeyote mwenye akili hawezi kupoteza muda wake kwenye upuuzi huo.
Kwani ni lini Lowassa ametangaza uadui na Kikwete ??
Kama bado ni Marafiki ni kwa nini Mkoa wa Arusha ndio unaongoza kwa Vurugu wakati yeye lowasa ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama??

Kwa nini Lowasa aseme CHADEMA hawamtukani ilia CCM???
Mbona JK anahoma kali sana na CHADEMA?? Ina maana LOWASSA na Kikwete wapo vyama tofauti??
 
All in all Lowasa wewe si ni fisadi ambae mpaka chama chako kinakugwaya iweje makanisa wakukumbalie tena? Yafaa makanisa na nyie mwangalie vitu vingine sio mnatuhubiria mafisadi mafisadi wanaimaliza nchi yetu afu huku mnawakumbatia kwenye michango ili mpate michango mikubwa
 
all in all lowasa wewe si ni fisadi ambae mpaka chama chako kinakugwaya iweje makanisa wakukumbalie tena? Yafaa makanisa na nyie mwangalie vitu vingine sio mnatuhubiria mafisadi mafisadi wanaimaliza nchi yetu afu huku mnawakumbatia kwenye michango ili mpate michango mikubwa
lowassa ni mwizi haka kama anakwenda makanisani lakini ukweli ni kwamba toba ya lowassa ni lazima iwe wazi???

Alipaswa kuwaomba radhi watanzania kwa kuwalea richmond/ dowans na kutuletea umasikini!!!

Yeye kasha sema kuwa ana urafiki mkubwa na kikwete hivyo hafai kuwa rais kwasababu yupo katika mtandao wa wezi??
Tunapinga hata hatua ya serikali kuwahamisha viongozi wezi badala ya ku
wapeleka jela!!!

Wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, wakiiba wanahamishwa !!!

Leo lowassa na kikwete wanakashifa ya richmondi badala ya kuwaweka pembeni watu wanaangalia utajiri wa lowassa na kumutaka agombee urais haya ni matusi kwa watanzania!!!
 
nadhani ccm wameshaharibu huko makanisani kwani Pengo keshatoa tamko kuwa cdm na wanaharakati wanachafua amani ya nchi
 
Thread yako ina ujumbe wa maana sana kwa ccm, lowassa, na makanisa bravo mkuu..wajitazame
 
Back
Top Bottom