KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Ni jambo la Unafiki sana pale ambapo Udini unapo wanufaisha CCM halalamiki!!
Ukweli ni kwamba Lowassa ameacha kabisa kazi ya Maendeleo kwa Taifa na sasa anatafuta urais Makanisani Jambo ambalo linapaswa kukemewa na Serikali ya Kikwete!!!
Mwaka 2010 Maaskofu wengi waliunga mkono Chadema kwa sababu ya Sera lakini Rais Kikwete akasema kuna udini , sasa Hivi Lowassa ambaye ni CCM anachanja Mbuga makanisani na kufanya kampeni za Urais 2015 Hakuna mtu ndani ya CCM anayekemea UDINI huo!!!
Kumbe Udini unaponufaisha CCm hakuna tatizo!!
Nawashauri na CHADEMA muanze kualikwa Makanisani na matamko ya Maaskofu yaanze tena tuona nani zaid!!!
CUF nao nendeni Misikitini siku za ijumaa!!!
Ukweli ni kwamba Lowassa ameacha kabisa kazi ya Maendeleo kwa Taifa na sasa anatafuta urais Makanisani Jambo ambalo linapaswa kukemewa na Serikali ya Kikwete!!!
Mwaka 2010 Maaskofu wengi waliunga mkono Chadema kwa sababu ya Sera lakini Rais Kikwete akasema kuna udini , sasa Hivi Lowassa ambaye ni CCM anachanja Mbuga makanisani na kufanya kampeni za Urais 2015 Hakuna mtu ndani ya CCM anayekemea UDINI huo!!!
Kumbe Udini unaponufaisha CCm hakuna tatizo!!
Nawashauri na CHADEMA muanze kualikwa Makanisani na matamko ya Maaskofu yaanze tena tuona nani zaid!!!
CUF nao nendeni Misikitini siku za ijumaa!!!