Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Naomba nikiri, sijui hata ni nini kinaendelea hapa
Nilidhani zito na huyu dada ndio wanatongozana?
Nilidhani zito na huyu dada ndio wanatongozana?
Amtose mara ngapi? Hukusikia U HERD!!!!!! ya Gossip Cop wa Clouds Fm? HABARI NDO HIYO!
Mimi sidhani kama najua Kiingereza maana sijaona popote pale katika hizo tweets ambapo Zitto katoswa.
Hivyo inawezekana labda sijaelewa.
Wewe umeona alipotoswa?
uwezo anao ila the guy doesnt care cos he has many on the list cha zaidi atakuwa anamsikitikia tuu